Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Hivi punde uongozi wa Manispaa ya Ilala pamoja na Baraza la madiwani wamejikuta katika mshangao mkubwa baada ya kupewa taarifa kuwa kampuni ya MACS&SONS ilikuwa imejikwepulia kiasi cha sh 700,000,000 kwa amri ya mahakama kutoka ktk akiba yake ya banki.
Mshangao ni mkubwa zaidi kwani duru za kiintelijensia za JF zimepata habari kuwa mwanasheria wa halmashauri hajawahi kuwa na shauri na kampuni hiyo na mbaya zaidi halmashauri haina takwimu za kazi au huduma zilizotolewa na kampuni hii.
Karibuni.
Mshangao ni mkubwa zaidi kwani duru za kiintelijensia za JF zimepata habari kuwa mwanasheria wa halmashauri hajawahi kuwa na shauri na kampuni hiyo na mbaya zaidi halmashauri haina takwimu za kazi au huduma zilizotolewa na kampuni hii.
Karibuni.