Wizi wa matela CRDB

Kwa hiyo ulinunua nyapu kwa laki mbili....au sijakuelewa vizuri mkuu. Ila ulicheza kiume..
 
Kuna yule wa Kariakoo uhuru, ukizubaa anachanganya na kumi feki halafu anaitoboa kabla hata hujaichunguza..
 
hahahahhaha dhambi huzaa dhambi
 
CRDB MLIMANI CITY chunguzeni wafanyakazi wenu....hasa kwa wateja wanaotoa pesa nyingi.
 
Kapo kengine pale Azikiwe Premier kanaitwa Haika...kadogo dogo hivi chocolate colour. Kaogope kama una ukoma, labda kama una pesa kidogo.....kama nyingi lazima kakupige
Kale katoto ka kichaga hatariiii hahahaha
 
Mhhh kuhusu huyo Aika wa CRDB Azikiwe, mdada anapiga kazi ile mbaya yuko super faster & smart. Napata kigugumizi, kwanza hausiki na malipo taslimu ataiba Cheque au Bank Balance?
Acha kutetea upuuzi unajua anayezungumziwa ni yupi......(vichunusi)..unganisha dots
 
Kuna mmoja alitaka kunidhurumu 10 yangu, aisee nilimchenjia mpka akairudisha
 
Ajira mwendo kasi baba anataka awe na vog na majumba for one year.... Aibu sana
 
okay!
 
alaaah... ulikula uchi wa laki 2 kwa mara moja tu!!! au ilikua bando ya wiki?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…