ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Kumekuwa na operesheni ya kukamata pikipiki kwa madai hazina kibali cha kuingilia katikati ya Jiji,kwa kadri ninavyojua hakuna she ria inayozuia pikipiki kuingia katikati ya Jiji isipokuwa pikipiki za makampuni au zenye vibali maalum kama IPO she ria ya kibaguzi namna hii itakuwa she ria ya ajabu pikipiki maelfu kwa maelfu zinakamatwa kuzitoa ni laki moja ukizidisha kwa pikipiki utajua ni kiasi gani watu wanaingizwa katika umasikini,nawasilisha