Vp na ukienda kuuliza salio wanataka jero au wameacha
hii ndo inanikera balaa
ela zangu nikienda kuuliza salio tu nakatwa looo!
Wewe sijui hata kama hizo akili zako zinafanya kazi vema.Hawa crdb ni wezi wakubwa hakuna faida zaidi ya kimey kutumika na jack zoka kuihujumu cdm ni mafisadi
Mkuu unaonaje hizo pesa zako utunze nyumbani halafu uone kulivyo na gharama kubwa kutunza pesa.hii ndo inanikera balaa
ela zangu nikienda kuuliza salio tu nakatwa looo!
Mkuu unaonaje hizo pesa zako utunze nyumbani halafu uone kulivyo na gharama kubwa kutunza pesa.
Ndugu wana JF!
Je mnajua jinsi Bank inayosikiliza "CRDB" inavyoibia wateja wake? Fikiria kila ukitoa pesa kwenye ATM wanakata shs. 700.00. Wanasema kwa siku unaweza kutoa shs. 1,000,000.00. Lakini huwezi kutoa hiyo million moja mara moja utatoa mara tatu na kila ukitoa unakatwa shs. 700/=, kwa ujumla utakatwa shs. 2,100/=, hizo ni hela nyingi sana.
Na ujue kila mwezi unakatwa shs 1,500/= kama reja fee. Sasa huu ni wizi kama ule wa ESCROW.
Watanzania tuamke na tukatae wizi wa mchana mchana.
Naomba kuwasilisha!
hii ndo inanikera balaa
ela zangu nikienda kuuliza salio tu nakatwa looo!
Fay hata kiinglish upo? Nikajua kiswahili tu...= ledger fee