Wizi wa Bank ya CRDB

Wizi wa Bank ya CRDB

Status
Not open for further replies.
Mbona Barclays bank tunakatwa 10000 kwa mwezi tumetulia tuu.we hela ya mboga umekatwa unaliia.
 
Faida kubwa ya bank inategemea kukopesha hela, ambazo kwa sasa zina insurance hivyo wanajihakishia faida for over 90%. Hayo mabilioni wanayopata ya mikopo kwa hela za wateja more than 20% interest kwa mkopo; mteja aliyewapa hela zake wafanyie biashara anafaidikaje??

kwa ujumla naona CRDB wameingiza michango mingi sana kwa pamoja;
Kutoa hela juu
  • kuangalia salio wanacharge
  • statement wanacharge
  • Kubadilisha kard ambayo ni lazima kila 2yrs shs 7300???? huu sio wizi??
  • kutoa hela mara moja 700shs
  • Michango hiyo yote na mingine imeingizwa bila taarifa rasmi ya makato yanayo ongezeka kwa wateja

binafsi naona wamejisahau???
 
Mkuu je unafahamu kuwa banking ni biashara kama biashara zingine? Unapofanya biashara unategemea kutengeneza faida na si hasara. Sasa unapowaita ni wezi wakati umesaini mkataba nao, na umekubaliana na masharti yao bila shuruti yoyote, huoni kama huwatendei haki? Halafu tambua kuwa tundu la kutolea pesa kwenye ATM lina uwezo wa kutoa noti 40 tu kwa wakati mmoja. Kwa maana hiyo kiasi unachoweza kutoa kwa wakati mmoja kinategemea na thamani ya noti iliyowekwa kwenye ATM.
Mfano

  • Kama ni noti ya shilingi 500 basi itakuwa 500 x 40 =20,000/=
  • Kama ni noti ya shilingi 1,000 basi itakuwa 1,000 x 40 =40,000/=
  • Kama ni noti ya shilingi 2,000 basi itakuwa 2,000 x 40 =80,000/=
  • Kama ni noti ya shilingi 5,000 basi itakuwa 5,000 x 40 =200,000/=
  • Kama ni noti ya shilingi 10,000 basi itakuwa 10,000 x 40 =400,000/=

Useful info mkuu
 
Sawa na sasa ukita kujua balance tu 500! Kuchungulia kwenye computer na kukuambia una buku 2 wanata mia tano!
 
Faida kubwa ya bank inategemea kukopesha hela, ambazo kwa sasa zina insurance hivyo wanajihakishia faida for over 90%. Hayo mabilioni wanayopata ya mikopo kwa hela za wateja more than 20% interest kwa mkopo; mteja aliyewapa hela zake wafanyie biashara anafaidikaje??

kwa ujumla naona CRDB wameingiza michango mingi sana kwa pamoja;
Kutoa hela juu
  • kuangalia salio wanacharge
  • statement wanacharge
  • Kubadilisha kard ambayo ni lazima kila 2yrs shs 7300???? huu sio wizi??
  • kutoa hela mara moja 700shs
  • Michango hiyo yote na mingine imeingizwa bila taarifa rasmi ya makato yanayo ongezeka kwa wateja

binafsi naona wamejisahau???

umeona eeh
alafu kuna mijitu umu sijui imetumwa inaleta majibu ya ki..sen..ge...se...nge eti tukae na ela zetu nyumbani
badala mkusanye maoni wateja wenu wanasemaje yenyewe yamekalia kuponda tu!!
 
Mparee2,

Mi naona vikoba vinalipa zaidi tumechoka
 
Last edited by a moderator:
yaan hawa jamaa ni noma mi nilifungua business ac nakatwa 12500 kwa mwezi na kila nikitoa hela kwenye atm nakatwa hela tena unaweza kutoa mil 2 yaan lak nne mara 5 hivyo unakatwa 4000. Halafu wizi mwingine mkubwa kila mteja hukatwa 4400 kwa ajili ya kumiliki atm card. majanga!!!
 
kazi ya kutoa mikopo na loan ndiyo asset ya bank na sio savings and deposits. hiyo huduma ya savings and deposits bank hawapati faida yoyote na watu wa benk kwanza hawapendi ndio maana wanaweka ATM hadi mitaani mtoe ela zenu mkatumie . ila unapoenda bank kuchukua mkopo wanafurahi sana kwani hilo ndio kusudio la kuanzisha bank na kutoa huduma ya savings and deposit kwa charges ya 1500 kwa mwezi utalipa mishahara watu wangapi ? si itafirisika bank yenyewe . ila unapochukua loan ya milion 10 unalipa milion 15 ndio furaha yao
 
Ndugu wana JF!

Je mnajua jinsi Bank inayosikiliza "CRDB" inavyoibia wateja wake? Fikiria kila ukitoa pesa kwenye ATM wanakata shs. 700.00. Wanasema kwa siku unaweza kutoa shs. 1,000,000.00. Lakini huwezi kutoa hiyo million moja mara moja utatoa mara tatu na kila ukitoa unakatwa shs. 700/=, kwa ujumla utakatwa shs. 2,100/=, hizo ni hela nyingi sana.

Na ujue kila mwezi unakatwa shs 1,500/= kama reja fee. Sasa huu ni wizi kama ule wa ESCROW.

Watanzania tuamke na tukatae wizi wa mchana mchana.

Naomba kuwasilisha!

Hata NMB hivyohivyo ndg yangu, tena wanakata 800 per transaction. Wanyonge ni kuibiwa tu huku unaona, hakuna cha kufanya
 
yaan hawa jamaa ni noma mi nilifungua business ac nakatwa 12500 kwa mwezi na kila nikitoa hela kwenye atm nakatwa hela tena unaweza kutoa mil 2 yaan lak nne mara 5 hivyo unakatwa 4000. Halafu wizi mwingine mkubwa kila mteja hukatwa 4400 kwa ajili ya kumiliki atm card. majanga!!!

4,400 ni kwa miezi sita, kwa mwaka ni 8,800.

Yani wamenikera katika kipindi cha Nov2014-March 6,2015 wamenikata 54,000!!!
Ikabidi nihoji palepale nikapewa maelezo marefu ambacho milikielewa ni 4,000 tu ambayo ilikatwa kama chaji ya kupokea hela kupitia akaunti nyingine.
 
Jamani hizo ndo bank charges au hamjui? Hakuna free lunch. Kutoa au kutuma milion moja m pesa kiasi gani?
Kwani hela yetu hawaizungushi kupata faida? Ningekuwa na akaunti huko ningebeba hela zangu zote
 
Faida kubwa ya bank inategemea kukopesha hela, ambazo kwa sasa zina insurance hivyo wanajihakishia faida for over 90%. Hayo mabilioni wanayopata ya mikopo kwa hela za wateja more than 20% interest kwa mkopo; mteja aliyewapa hela zake wafanyie biashara anafaidikaje??

kwa ujumla naona CRDB wameingiza michango mingi sana kwa pamoja;
Kutoa hela juu
  • kuangalia salio wanacharge
  • statement wanacharge
  • Kubadilisha kard ambayo ni lazima kila 2yrs shs 7300???? huu sio wizi??
  • kutoa hela mara moja 700shs
  • Michango hiyo yote na mingine imeingizwa bila taarifa rasmi ya makato yanayo ongezeka kwa wateja

binafsi naona wamejisahau???

Suluhisho ni Islamic Banking!
 
we mtoa mada hovyo kabisa...sitoshangaa siku ukija hapa ukidai nauli za daladala zifutwe coz makonda wanakuibia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom