Jana usiku majira ya saa nne niliweka muda wa maongezi wa sh.4,000/= kisha nikanunua kifurushi cha intanet cha MB400 kwa sh2500. Nikaperuziperuzi kwenye intanet kwa muda wa nusu saa pasipo ku-download kitu chochote. Leo asubuhi nikaperuz tena kwa muda wa kama wa kama lisaa limoja na baada ya hapo connection ya intanet ikawa inazingua. Cha kushangaza nilipoangalia salio langu kifurushi nikaambiwa nimeshatumia MB400 zote! Na nilipojaribu kuangalia salio la kawida ambapo jana nilkuwa nimebakiwa na sh 1500 sikukuta kitu! Nilipojaribu kuwapigia huduma kwa wateja walinipa majibu ambayo sikuridhishwa nayo kabisa.
Naona hawa jamaa nao wameanza wizi kama wa TIGO.
Naona hawa jamaa nao wameanza wizi kama wa TIGO.