KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ila nasikia wakware wanapitilizaga maana hiyo scine inawezakuchukua miezi wapo kwenye mazoezi!!!mimi kama mimilazima tuwe wote kwenye mazoezi dah!!maana yaitaji uvumilivu vinginevyo moyo unaweza kuchomoka ukakuta umedondoka adhari!!kazi ni kazi