Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Hela nyingi kwako ni kiasi gani?
Nii zoote kwenye account zako unipe na usiishiwe, ukiishiwa tu anakula kwako.
Weka bond nonino yako.
Leta mkataba nisaini kabla yakuweka bond.
Mwanasheria wangu atakutafuta.
Toroka uje.. Kila asbhi napata mb 50 bure siku nzima.. Voda nilishawahama kitambo tena baada ya kuwakopa 2000 wapuuzi sana.
aaaaaaaaahnkadhani ni lowassa kaiba tena 800 bilion shivacom,
hayo yote yanafanyika ili kufidia wizi wa bilion 650 alizoiba lowassa na fred lowassa kupitia shivacom................inauma sana lowassa ametufikisha hapa tulipo
Toroka uje.. Kila asbhi napata mb 50 bure siku nzima.. Voda nilishawahama kitambo tena baada ya kuwakopa 2000 wapuuzi sana.
Pia Vodacom wameondoa huduma ya kuongea na muudumu wao bure Sasahivi ni shilingi 100 kuongea nao. Ndio Tanzania imefikishwa na Mfumo m'bovu hapo. Kila Mtu anajiamulia atakavyo.