Wizi mpya wa VodaCom, Tuwakatae!

Wizi mpya wa VodaCom, Tuwakatae!

Nnahisi hapo hakuna wizi ni matumizi tu.

Nnakushauri fanya "data shutoff" kwenye "Mobile Networks" kabla hujaingiza salio.

Ukisha shutoff data, ingiza salio, nunuwa kifurushi halafu ndiyo funguwa data connection.

Watz wengi wanatanguliza malalamiko kwanza kufikiri ndo kunafata,ndo mana lowasa amevuna vichwA vingi sana vya aina hiyo
 
Juzi nimepokea sms kutoka Voda wakidai kwamba sasa wanatoa MB 6O kwa sh. 300, cha ajabu kila niangaliapo #Menyu yao sioni hicho kifurushi. Nikaona hawa jamaa ni Wapuuzi sana, mbaya zaidi wanadiriki kunihonga sh. 900 kwa M-Pesa akaunti yangu.
 
ukiona hvyo hawana hela za Football so zitatoka kwa watu alafu ndio watawapa hayo mabilioni
 
Hizo vocha si wameshawahi kuzileta tena? Nakumbuka watu walizipigia kelele sana zikaondolewa. Wanataka kuzirudisha tena?
 
Nnahisi hapo hakuna wizi ni matumizi tu.

Nnakushauri fanya "data shutoff" kwenye "Mobile Networks" kabla hujaingiza salio.

Ukisha shutoff data, ingiza salio, nunuwa kifurushi halafu ndiyo funguwa data connection.

hizi simu za promotion hazikubali kuzima data labda uchomoe betry.
 
voda hawa promotion ya jay milions iliwashinda kwa sababu ya Ubabaishaji, mtu kashinda wanamzingua
 
Nunuwa kwa Mpesa.

Ushauri mzuri, tujadili wizi huku tukichukua hatua ndogo kama hizi. Mie huwa nanunua salio kwa tiGO PESA (natumia mtandao wao) na sijawahi kufanyiwa uhuni. Kuna vifurushi vinauzwa 1999, ukiweka buku mbili kuna shilingi yapotea kijinga, dawa ni kununua mzigo kamili!
 
Hii hapa nilinunua jumamosi kuweka tu napokea SMS umeongeza 450, swali mbona hawatoi taarifa kuwa kuna vocha mpya? That's is the concern of ours
 

Attachments

  • 1444030078977.jpg
    1444030078977.jpg
    18.9 KB · Views: 169
Vodacom wanajua ccm iliyobaki in kudhulumu NA kuwaibia wananchi
 
aaaaaaaaahnkadhani ni lowassa kaiba tena 800 bilion shivacom,
hayo yote yanafanyika ili kufidia wizi wa bilion 650 alizoiba lowassa na fred lowassa kupitia shivacom................inauma sana lowassa ametufikisha hapa tulipo

Ni vizuri ukaendelea na dawa gonjwa la kuchanganyikiwa baya sana..
 
Watz wengi wanatanguliza malalamiko kwanza kufikiri ndo kunafata,ndo mana lowasa amevuna vichwA vingi sana vya aina hiyo

mkuu wangu,,mpaka nmeandika hapa nmeshaona,,,vocha imeandikwa 450/- wakti muuzaji anauza sh.500/- ,nlipoingiza nikapata sh. 450/- kama ilivyoandikwa kwenye vocha,,,nikamuuliza muuzaji akniambia ndo vocha zinazotoka sasa hivi kwa hiyo na yeye kutokana na hali ya wateja wake hatoleta tena vocha!
 
Mi nimeweka muda wa maongezi shs 30000, nijiunge kifurushi cha mwezi baada ya sekunde naambiwa salio lako halitoshi kujiunga na kifurushi hiki, kuangalia salio ni shs 10,000 na nilizima data.Naomba murudishe muda wangu wamaongezi tafathali!
 
Wakati mwingine nikiweka 1000, nisipojiunga haraka nakuta 800 na sijawahi kukopa, shida nn?
 
Wadau, vodacom imekuja na wizi mpya baada ya kuona ule wa mb 8 umenyamaziwa, ambapo sasa hakuna vocha ya 500 bali 450. Aina hii ya wizi ni kwamba ukienda dukani hiyo vocha utainunua kwa sh.500 huku wewe ukipata sh.450 kwenye salio lako.

Ikumbukwe kwamba hao vodacom hawana kifurushi cha chini ya 499, sasa mtu kama unanunua vocha ya sh.500 alafu unapata sh.450, maana yake utakuwa unalazimika kununua vocha mbili za 1000 ili upate 900, au ya elfu moja ili uweze kujiunga!

Jaman hii nchi tunaelekea wapi? Kwa maisha gani ya mtanzania kuweka elfu moja kila siku kwa ajili ya vocha?

Hawa jamaa ni kuachana nao kabisa, leo hii R.I.P lain ya voda, sina hamu na ninyi tena!

Khaa!! Wewe uko tigo? Airtel? Au Zantel? Umelipia promo yako hii JF?
 
Back
Top Bottom