CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Hizi figures zina relation gani?
- KAGODA ilichukuwa 40BN
- Watuhumiwa wa EPA walirudisha 50bn zikapelekwa TIB. Peter Noni akateuliwa CEO hapohapo
- Ule mradi wa power tillers fake ulipewa 50bn
- CCM wakati wa kuelekea uchaguzi walidai wanahitaji 50bn za kampeni
- Sasa hizi 48bn