jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
As long as ni haka serikali corrupt bado kapo "BOT" bado itendelea kutoa mtaji kwa wanaojiita wajanja kwa kutumia mbinu mbalimbali za kumlaghai rais wetu kilaza, na asiyeshaurika...
Nadhani Ndugu Zitto kalivalia njuga hilo suala, naangalia mwisho wake sijui utakuwaje! Ni mapema kusema lolote japo sitarajii makubwa katika uwajibikaji, ndio uendeshaji wa serikali wa Dr(kilaza) jeykey
Nadhani Ndugu Zitto kalivalia njuga hilo suala, naangalia mwisho wake sijui utakuwaje! Ni mapema kusema lolote japo sitarajii makubwa katika uwajibikaji, ndio uendeshaji wa serikali wa Dr(kilaza) jeykey