Wizara ya Sanaa na Michezo iboreshe "customer care" kwa "world class celebrities" wanaoitangaza vyema Tanzania yetu

2118350_IMG_20190722_184817_748.jpg


Sidhani kama Rais wa Switzeland angethubutu kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje Pompeo wa Marekani kavaa raba na khaki pants. Atasimamishwa mapokezi ataambiwa Waziri kabadili schedule ya kukutana na wewe. Sijui kwa nini Mwafrika huwa hajui kujithamini. Nyerere alikuwa anawarudishia mlangoni hawa shenz type hizi.
Rais wa Switzerland alikuja kwenye safari binafsi ambayo sio ya kiserikali. Alikuja kutalii na kupumzika
 
World Class Celebrities should be handled accordingly
Ni kweli, tunahitaji kuweka strategy, igeni Rwanda inavyokarimu wageni, wageni wengine wanawexa tupa connect za deal za maana,

Sasa huyu kigwa sidhani hata ngeli unapanda sijawahi mwona akiongea na mzungu
 
U
Mbona una negativity sana? Kwani ni wote hawati publicity? Lakini mfano Rais wa TFF akiomba kuonana na Mchezaji maarufu faragha ampe ushauri na uzoefu wake kuinua tasnia hapo kuna publicity yoyote? Watu mnapenda kuwa negative all the time hadi hovyo
Unachosema Ni kweli mfano van nestory angesaidia kuiunganisha tff na real Madrid wangeweza kutoa support kwenye academy zetu
 
Nimesema hivi: Siyo kila anayekuja anataka uwepo wake ujulikane. Watu maarufu hutalii sehemu mbali mbali duniani na mara nyingine hufanya ziara za binafsi. Nikukutajia watu maarufu ambao wametalii Kenya mwaka jana bila watu kutangaziwa utashangaa. Pia Tanzania huwa wanatalii lakini mara nyingi hawataki watangazwe. Unacho-suggest wewe kitaleta matokeo kinyume.
Tanzania pia wamekuja celebrities wengi zaidi ya watu wanavyojua sometime they want to get away from the public attention and enjoy life as normal people
 
2118350_IMG_20190722_184817_748.jpg


Sidhani kama Rais wa Switzeland angethubutu kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje Pompeo wa Marekani kavaa raba na khaki pants. Atasimamishwa mapokezi ataambiwa Waziri kabadili schedule ya kukutana na wewe. Sijui kwa nini Mwafrika huwa hajui kujithamini. Nyerere alikuwa anawarudishia mlangoni hawa shenz type hizi.
Tofautisha ssfari za mapumziko na za kiserikali.

Kuabudu mavazi ni ushamba.

Sioni haja ya kuvaa suti ili hali kichwani ni mweupe.
 
Tofautisha ssfari za mapumziko na za kiserikali.
kwa hiyo hapo anapumzika wapi, ngorongoro au baharini?

ni huku third word tu ndio wanakutana na watu wasiojithamini, huwezi kwenda Marekani "kupumzika" halafu ukaenda kukutana na foreign minister Pompeo umevaa ndaba na khaki pants, watakwambia ukimaliza "mapumziko" kavae kikazi come back!

2118350_IMG_20190722_184817_748.jpg
 
ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO.
USTAWI WA NCHI YETU NI JUKUMU LA KILA MMOJA WETU NA UNAANZA NA WEWE.
TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Infantry Soldier, Endelea kuwa mvumilivu, mambo mazuri yanakuja.

Mafao yako yamekopwa na serikali ili kujenga miundo mbinu ya maji,barabara,umeme,hospitali na maji, watakaporejesha basi utapewa mafao yako na NSSF.

Endelea kuwa mzalendo,mvumilivu na mwenye upendo kwa nchi yako.
Hakika unajua kumpa mtu moyo
 
Nimesema hivi: Siyo kila anayekuja anataka uwepo wake ujulikane. Watu maarufu hutalii sehemu mbali mbali duniani na mara nyingine hufanya ziara za binafsi. Nikukutajia watu maarufu ambao wametalii Kenya mwaka jana bila watu kutangaziwa utashangaa. Pia Tanzania huwa wanatalii lakini mara nyingi hawataki watangazwe.
Ndio umeandika nini hapa mkuu?
 
Back
Top Bottom