Wizara ya mapenzi na mafunzo ya kutongoza

Wizara ya mapenzi na mafunzo ya kutongoza

Haaaa
mie nataka zawadi jamani
@Judgement halafu wewe
jifanye unajitoa akili hivyo hivyo
your days are nearly numbered.

Zawaa'diii !
Mi spendi mtu mzima anaejitoa fahamu ujue!
Ticha ndo kishakumwagia mimaksi kibweena!
Hapo ulikua uambue 40% but kakumwagia abt 95% !
Afu zawadi tena atoe yeye?
Kweli ?
"Eti mwl. Zawaadi" (huku umebana na pua! )
Unafikiri Mwl. Kalewa?
Huyu sio Mwl. Bishanga cha'pii! Huyu habugiagi !
 
Jibu sehemu b swali namba 8
najua linakuhusu moja kwa moja

Quiz 8 .
Faida/hasara ya kua na mpenzi mmoja.
- Kwanza nakiri linanihusu.

Majibu.
Mpenzi mmoja faida ukiugua miwaya hutafuti mchawi !
Faida nyingine pasua kichwa za wivu hutokua nazo.
Hasara ya mke mmoja, ni anajisahau, kiburi na love creativity inakua low.
 
Quiz 8 .
Faida/hasara ya kua na mpenzi mmoja.
- Kwanza nakiri linanihusu.

Majibu.
Mpenzi mmoja faida ukiugua miwaya hutafuti mchawi !
Faida nyingine pasua kichwa za wivu hutokua nazo.
Hasara ya mke mmoja, ni anajisahau, kiburi na love creativity inakua low.

Ndo maana mapenzi yako yamedumaa yanahitaji mbolea na kupaliliwa. najua unachoka kuimba wimbo wa mende. Maumivu yakizidi mwane Daktari.
 
SEHEMU A.
Jibu maswali yote

1. Nini maana ya Huba?
...................
Mapenzi
2. Taja aina 2 za mapenzi.
........................ 1.
ya dhati
.........................2. feki

3. Tofautisha kati ya busu na denda.
.........................
busu ni juu kwa juu
.........................denda ni kuzama ndani zaidi

4. Eleza maana ya kupapasa.
................................
kutomasa tomasa
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
..................................
hakuna

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
................... Kuongeza mwendo wa damu
...................Kupunguza mfadhaiko wa moyo
...................Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana

8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja

9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
...............msongo wa mawazo


...................nawakilisha............

Nina aleji na mitihani........ngoja niprint haya majibu endapo mwalimu MziziMkavu akihitaji nimpatie...
 
Last edited by a moderator:
ni ya siku nyingi kidogo ila nimeona nipite tu japo kwa mbali majibu ya sehemu ya kwanza yamekosewa sehemu ya pili atuwezi kusema inaweza ikawa sahihi ama si sahihi
 
View attachment 150663
WIZARA YA MAPENZI NA MAFUNZO YA KUTONGOZA.

BARAZA LA MAHUSIANO LA TAIFA.

MTIHANI WA MAHABA.
MUDA:
Dakika 40

SEHEMU A.
Jibu maswali yote
1. Nini maana ya Huba?
2. Taja aina 2 za mapenzi.
3. Tofautisha kati ya busu na denda.
4. Eleza maana ya kupapasa.
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja
9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.

"NAKUTAKIA MTIHANI MWEMA.
 
Back
Top Bottom