Wizara ya mapenzi na mafunzo ya kutongoza

Wizara ya mapenzi na mafunzo ya kutongoza

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,073
Reaction score
34,844
WIZARA YA MAPENZI NA MAFUNZO YA KUTONGOZA.

BARAZA LA MAHUSIANO LA TAIFA.

MTIHANI WA MAHABA.
MUDA:
Dakika 40

SEHEMU A.
Jibu maswali yote
1. Nini maana ya Huba?
2. Taja aina 2 za mapenzi.
3. Tofautisha kati ya busu na denda.
4. Eleza maana ya kupapasa.
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja
9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.

"NAKUTAKIA MTIHANI MWEMA.
 
SEHEMU A.
Jibu maswali yote

1. Nini maana ya Huba?
...................
Mapenzi
2. Taja aina 2 za mapenzi.
........................ 1.
ya dhati
.........................2. feki

3. Tofautisha kati ya busu na denda.
.........................
busu ni juu kwa juu
.........................denda ni kuzama ndani zaidi

4. Eleza maana ya kupapasa.
................................
kutomasa tomasa
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
..................................
hakuna

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
................... Kuongeza mwendo wa damu
...................Kupunguza mfadhaiko wa moyo
...................Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana

8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja

9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
...............msongo wa mawazo


...................nawakilisha............
 
Dadda'deck kumbe Li- Mamndenyi ni litaalamu libobeaji kihivi !
Ila Quiz 5 ndiyo niombe further explaination , unaposema "hakuna parts untourchable while game proceeding" una maana hata "Kabaang" ina play part gemuni si ndiyo?
Swali :- nini kinafanywa at a certain organ. (natumia lugha chotara kudalyuti ukali wa maneno , na si vinginevyo)
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
haaaaa ha ha haaa
Umekimbia mtihani halafu unataka kuuliza maswali,
haaaa, mie ni mwanafunzi ngoja mwalimu Mzizimkavu aje na
majibu kwanza.

Dadda'deck kumbe Li- Mamndenyi ni litaalamu libobeaji kihivi !
Ila Quiz 5 ndiyo niombe further explaination , unaposema "hakuna parts untourchable while game proceeding" una maana hata "Kabaang" ina play part gemuni si ndiyo?
Swali :- nini kinafanywa at a certain organ. (natumia lugha chotara kudalyuti ukali wa maneno , na si vinginevyo)
 
Ha ha haaa
haaaaa ha ha haaa
Umekimbia mtihani halafu unataka kuuliza maswali,
haaaa, mie ni mwanafunzi ngoja mwalimu Mzizimkavu aje na
majibu kwanza.

Yaani kwa kinywa kipana unasubutu kusema Li chief Jg like me , naweza umwaga kwenye vijiswalimboga kama hivi?
Fidifosi hawatumwi ambapo mapongo wa kawaida hawashindwa!
Mi nitajibu yale mtakayoboil .
 
Haaaa
Jibu hili hapa tuone

5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?

.............................. ....

Yaani kwa kinywa kipana unasubutu kusema Li chief Jg like me , naweza umwaga kwenye vijiswalimboga kama hivi?
Fidifosi hawatumwi ambapo mapongo wa kawaida hawashindwa!
Mi nitajibu yale mtakayoboil .
 
SEHEMU A.
Jibu maswali yote

1. Nini maana ya Huba?
...................
Mapenzi
2. Taja aina 2 za mapenzi.
........................ 1.
ya dhati
.........................2. feki

3. Tofautisha kati ya busu na denda.
.........................
busu ni juu kwa juu
.........................denda ni kuzama ndani zaidi

4. Eleza maana ya kupapasa.
................................
kutomasa tomasa
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
..................................
hakuna

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
................... Kuongeza mwendo wa damu
...................Kupunguza mfadhaiko wa moyo
...................Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana

8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja

9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
...............msongo wa mawazo


...................nawakilisha............
Hongera bibie Umeshinda Mtihani wewe Mamndenyi
 
Last edited by a moderator:
Mamndenyi :yo: Naona Unaweza ukawa lekchara mzuri kwenye darasa la :mwaaah:......ngoja :A S 39:
SEHEMU A.
Jibu maswali yote

1. Nini maana ya Huba?
...................
Mapenzi
2. Taja aina 2 za mapenzi.
........................ 1.
ya dhati
.........................2. feki

3. Tofautisha kati ya busu na denda.
.........................
busu ni juu kwa juu
.........................denda ni kuzama ndani zaidi

4. Eleza maana ya kupapasa.
................................
kutomasa tomasa
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
..................................
hakuna

SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
................... Kuongeza mwendo wa damu
...................Kupunguza mfadhaiko wa moyo
...................Kuishi muda mrefu huku ukionekana kijana

8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja

9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
...............msongo wa mawazo


...................nawakilisha............
 
Last edited by a moderator:
Mtaala kautengeneza mwenyewe Mzizi mkavu!
Mtihani kautunga yeye!
Na marks atazitunga apendavyo!
Note : mie hata cha kumhonga sina!
Bora kwako anaweza kugaa na upwa!

Ndo zenu hizo hamchelewi kusema nimepewa majibu loooh.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu ndo kusema hakuna hata zawadi jamani mwalimu weyee.

Zawaa'diii !
Mi spendi mtu mzima anaejitoa fahamu ujue!
Ticha ndo kishakumwagia mimaksi kibweena!
Hapo ulikua uambue 40% but kakumwagia abt 95% !
Afu zawadi tena atoe yeye?
Kweli ?
"Eti mwl. Zawaadi" (huku umebana na pua! )
Unafikiri Mwl. Kalewa?
Huyu sio Mwl. Bishanga cha'pii! Huyu habugiagi !
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom