Herbalist Dr MziziMkavu
Platinum Member
- Feb 3, 2009
- 43,073
- 34,844
WIZARA YA MAPENZI NA MAFUNZO YA KUTONGOZA.
BARAZA LA MAHUSIANO LA TAIFA.
MTIHANI WA MAHABA.
MUDA:
Dakika 40
SEHEMU A.
Jibu maswali yote
1. Nini maana ya Huba?
2. Taja aina 2 za mapenzi.
3. Tofautisha kati ya busu na denda.
4. Eleza maana ya kupapasa.
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja
9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
"NAKUTAKIA MTIHANI MWEMA.
BARAZA LA MAHUSIANO LA TAIFA.
MTIHANI WA MAHABA.
MUDA:
Dakika 40
SEHEMU A.
Jibu maswali yote
1. Nini maana ya Huba?
2. Taja aina 2 za mapenzi.
3. Tofautisha kati ya busu na denda.
4. Eleza maana ya kupapasa.
5. Ni sehemu gani ya mwili ambayo haishikwi kabisa
wakati wa kufanya mapenzi?
SEHEMU B.
Jibu maswali 2 tu
6. Eleza hatua zinazo fuatwa kabla ya kufanya
mapenzi
7. Taja umuhimu wa kufanya mapenzi.
8. Taja faida na Hasara za kuwa na mpenzi mmoja
9. Eleza matatizo yatokanayo na kuachwa na mpenzi.
"NAKUTAKIA MTIHANI MWEMA.