Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Kwani
Mara Brazil kamwiga fulani kutotangaza takwimu. Brazil huyo huyo akiamua vinginevyo baada ya kuona usiri siyo dili, kimya! Utafikiri si wao walisema.
Kwani huko china wanatangaza
 
Hivi yeye mwenyewe hasikii, haoni Wala kuhisi hujuma anazofanyiwa na Hawa anaowaita wasaidizi wake aliowateua?
Mh. Magu shituka na litupe Hilo blanketi walilokufunika nalo kwani Lina kila aina ya chawa, kunguni, viroboto na funza wanaokunyonya ili kujaza matumbo yao kisa wanakusumbua wimbo uupendao!
Mwisho wa siku atakayenyooshewa kidole na kusemwa vibaya ni wewe na wao watakuwa sehemu ya wanyoosha vidole na kuzomea!
Wanakuharibia kwa makusudi marafiki waliotafutwa na mwl. Nyerere kumsaidia kuujenga uchumi ambao wameendelea Hadi Sasa. Uharibifu huu wa diplomasia utalikosti taifa siku za mbeleni kwani tutakavyozalisha tutakosa wa kumuuzia! Amka na kemea hao wanyonyaji wapya wanaojificha nyuma yako!
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Hiyo account sio verified!
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Kama tiibiisii waliwahi kutulisha habari kuwa Trump kampongeza Jiwe utashangaa vipi hao hao maana ni kulwa na Dotto
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
ni shida!
Kiingereza kimewachanganya.
 
Back
Top Bottom