Sure..... ni kiji-yesu toka chatoHuyo yesu unaye mmaanisha anaandikwa kwa herufi ndogo.
Kiki za kishambaaMara Brazil kamwiga fulani kutotangaza takwimu. Brazil huyo huyo akiamua vinginevyo baada ya kuona usiri siyo dili, kimya! Utafikiri si wao walisema.
Yesu wa nazaleti LumumbaTafadhali usinipeleke kwa yesu wa chamwino, kule nitaishia kula viboko tu
Yesu wa nazaleti LumumbaTafadhali usinipeleke kwa yesu wa chamwino, kule nitaishia kula viboko tu
Kuna kitu kinaitwa "snubbing". Kidiplomasia, na katika lugha za wenzetu, inahitaji "exposure" kuelewa nini kinaongelewa. Hivyo haishangazi umeambulia patupuMbona sioni mahali wakikanusha, au ndio tafsiri ya ufipa?
Hiyo ni tafsiri ya ufipa haswa. Eti sijui "snubbing" sijui nini, upuuzi mtupu.Kuna kitu kinaitwa "snubbing". Kidiplomasia, na katika lugha za wenzetu, inahitaji "exposure" kuelewa nini kinaongelewa. Hivyo haishangazi umeambulia patupu
Kumbe we mburula kiasi hiki! Loh! Kwani kusisitiza uwazi na kulinda haki za binadamu ndio wakazima mic wahawezi kuwa waliendelea na mazungumzo ambayo yalifikia kuisifu Tanzania na mwandishi akaamua kuichukua hiyo Kama angle yake ya kutolea habari?Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Nn maoni yako sasaKumbe we mburula kiasi hiki! Loh! Kwani kusisitiza uwazi na kulinda haki za binadamu ndio wakazima mic wahawezi kuwa waliendelea na mazungumzo ambayo yalifikia kuisifu Tanzania na mwandishi akaamua kuichukua hiyo Kama angle yake ya kutolea habari?
Hivi hizi mimba za chuki mtazi fanyia abortion lini?
Anayecheka mwisho ndio hucheka sanaNn maoni yako sasa
UFIPA KUNA SHIDA KUBWA SANA, SASA HAPA KILICHOKANUSHWA NI NINI?Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Na our beer.Wakudadavua, Mudawote, Kawe alumn, TumainE, Jothnthebaptist, kipra kipya, stroke, Jingalao et al
Najiuliza hivi kweli ndio sijui Kiingereza? Nalitafuta kanusho. Labda ndio lugha ya kidiplomasia.Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
Wapi walipo kanusha hapo aiseee achen mambo ya ajabuWakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.
Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?
Aibu!!
View attachment 1478660
background ni mazungumzo yaliyofanyika kati ya Kabudi na representative wa Norway govt.Najiuliza hivi kweli ndio sijui Kiingereza? Nalitafuta kanusho. Labda ndio lugha ya kidiplomasia.
Inataka shule kidogo mkuu. Hakuna mtulinga hapo. Na pia sio kila anaemkosoa Magu ni ufipa mkuu. Unataka kusema Magu ni rais wa wanaccm tu?Hiyo ni tafsiri ya ufipa haswa. Eti sijui "snubbing" sijui nini, upuuzi mtupu.