Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Kuna kitu kinaitwa "snubbing". Kidiplomasia, na katika lugha za wenzetu, inahitaji "exposure" kuelewa nini kinaongelewa. Hivyo haishangazi umeambulia patupu
Hiyo ni tafsiri ya ufipa haswa. Eti sijui "snubbing" sijui nini, upuuzi mtupu.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Kumbe we mburula kiasi hiki! Loh! Kwani kusisitiza uwazi na kulinda haki za binadamu ndio wakazima mic wahawezi kuwa waliendelea na mazungumzo ambayo yalifikia kuisifu Tanzania na mwandishi akaamua kuichukua hiyo Kama angle yake ya kutolea habari?

Hivi hizi mimba za chuki mtazi fanyia abortion lini?
 
Kumbe we mburula kiasi hiki! Loh! Kwani kusisitiza uwazi na kulinda haki za binadamu ndio wakazima mic wahawezi kuwa waliendelea na mazungumzo ambayo yalifikia kuisifu Tanzania na mwandishi akaamua kuichukua hiyo Kama angle yake ya kutolea habari?

Hivi hizi mimba za chuki mtazi fanyia abortion lini?
Nn maoni yako sasa
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
UFIPA KUNA SHIDA KUBWA SANA, SASA HAPA KILICHOKANUSHWA NI NINI?
HAPA NAONA BALOZI AMEWEKA MSISITIZO KWENYE MAENEO WALIYOZUNGUMZA NA KABUDI.HAKUNA MAHALI WALIPOKANUSHA KUISIFIA SERIKALI.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Najiuliza hivi kweli ndio sijui Kiingereza? Nalitafuta kanusho. Labda ndio lugha ya kidiplomasia.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Wapi walipo kanusha hapo aiseee achen mambo ya ajabu
 
Kwa kweli natakiwa nirudi kwenye shule ya kiingereza...kwenye post ya kwanza ya uzi huu sijaona "maneno" ya kukanusha habari ya Daily News kutoka kwa huyo mnorway! Nisaidieni kunionyesha.
 
Najiuliza hivi kweli ndio sijui Kiingereza? Nalitafuta kanusho. Labda ndio lugha ya kidiplomasia.
background ni mazungumzo yaliyofanyika kati ya Kabudi na representative wa Norway govt.

Daily News wanasema katika mazungumzo hayo tumesifiwa kwa mikakati makini katika mapambano dhidi ya COVID-19.

kwa upande wa Norway kupitia wizara yao ya maendeleo wamesahihisha taarifa ya Daily News kwa kusema "hapana, sisi tulisisitiza umuhimu wa serekali kuwa na uwazi na kutenda haki za binadamu".

usiri katika utoaji wa taarifa zinazohusiana na COVID-19 pamoja kukandamiza wanaotoa taarifa za kweli ni udhaifu wa serekali ambao kila Mtanzania anaujua.

kipi kisichoeleweka hapo ndugu? au na hili mnataka awatafsirie yule "yesu wenu wa Chamwino"?
 
Back
Top Bottom