Wizara ya elimu Mjipange

Songwe Yetu

Member
Nov 22, 2021
84
99
Hii wizara ya elimu ina tatizo kubwa ambalo ninaliona katika mifumo yake na sidhani kama inatakiwa kuwa ya kienyeji namna hii.
Mimejaribu kupitia design yake na logo zake zilizopo katika website yao nimegundua kuna tatizo kubwa mno.
1.watu wake wa Tehama sijui waliokota wapi inaonekana ni weupe sana na wamewekwa kindugu ndugu au Ndo wakina elimu za kuunga unga kama ndalichako.Nimejaribu kupitia mfumo wao wa udahihiri waalimu mwaka huu nimejaribu nimegundua kuwa bado kina vilaza wako serikalini. Mfumo wao unaitwa, "tcm.moe.go.tz" ni hatari tupu utafikiri ni watoto walioamua kucheza katika design.
Kwwnye tangazo lao wanasema wafanyakazinwaliopo kazini wanatakiwa kuomba kwa kuambatanishwa barua ya ruhusa lakini vyote hivyo havipo, wenyewe wanachojali ni ile pesa yao ambayo unatakiwa ulipe. Pia sijajua kwanini wamelimiti miaka ya kusoma wkati mtu akiwa kazini anaweza kujiendeleza wakati wowote. Kwwnye muongozo wao machaguoa yako sita ila ukiingia kwenye mfumo unakuta machaguo matatu.

Mara ya kwanza udhaili ulikuwa ukifanyika Nacte sasa sijajua kwanini walihamisha kutoka nacte kuipeleka wizarani.
Wizara ya elimu ingebaki kusimamia sera ya elimu mengine yangebaki kwenye tasisi zilizoko chini yake.Nasikia mna mpango wa pia wanafunzi wanaotaka kujiunga chuo kikuuu maombi yawe yanapitia kwenu kwenye mifumo yenu ilioundwa ovyo ovyo nadhani wanafunzi wengi watakosa vyuo.
2.Nimesikia mnaanza kusahihisha mitiani kwa kompyuta ni jambo zuri ila kama nyinyi wenyewe mliopo wizarani tehama inawashinda itakuwaje kwa waalimu ambao hawajawahi kushika compyuta tangu wazaliwe serikali isichezee elimu za watoto wetu
 
Inatakiwa wadau wa elimu wakutane wabadilishe mitaala kuendana na tehama na mabadiliko ya kielimu sasa. Elimu nayo ni biashara kama biashara nyingine ikiboreshwa italeta tija sana kwenye nchi yetu. .

Kusahihisha mitihani kwa computer inamaanisha majibu yatakuwa ya multiple choice. Vyuo vingi sasa Tanzania vimechukua mfumo huu wa kujibu maswali kwa multiple choices. Wanafunzi hata kama hawajui majinu huwa wanapiga ana ana do anaweka jibu ndio chanzo kikubwa cha kuzalisha wasomi wanao bet, kutwa kushinda kwenye betting na macasino. .

Nadhani mwanafunzi anapimwa kwa kuelewa jambo na anavyoweza kujieleza, wangerudisha tu mfumo wa kizamani wa kumpima mtu kupitia uelewa wake na kujieleza kwake. Elimu yatu watu wanajifunza kujibu mitihani na sio kulenga kama mwanafunzi anakielewa na kile anachojifunza anakuja kukitumia hapo baadae. .

Mwanafunzi wa sheria hajui sheria; wanafunzi wa udaktari hawana ufanisi na kazi niliona mtu kamwandikia mama mjamzito tatu mara moja badala ya moja mara tatu. Ukienda wahasibu ndo bila bila. Kwa ufupi elimu yetu sio elimu shindani hata kidogo. Kuna sehemu nimeona mwanafunzi wa chuo kaandika PRUTABLE badala ya pool table, na ana GPA kubwa tu. .
 
Inatakiwa wadau wa elimu wakutane wabadilishe mitaala kuendana na tehama na mabadiliko ya kielimu sasa. Elimu nayo ni biashara kama biashara nyingine ikiboreshwa italeta tija sana kwenye nchi yetu. .

Kusahihisha mitihani kwa computer inamaanisha majibu yatakuwa ya multiple choice. Vyuo vingi sasa Tanzania vimechukua mfumo huu wa kujibu maswali kwa multiple choices. Wanafunzi hata kama hawajui majinu huwa wanapiga ana ana do anaweka jibu ndio chanzo kikubwa cha kuzalisha wasomi wanao bet, kutwa kushinda kwenye betting na macasino. .

Nadhani mwanafunzi anapimwa kwa kuelewa jambo na anavyoweza kujieleza, wangerudisha tu mfumo wa kizamani wa kumpima mtu kupitia uelewa wake na kujieleza kwake. Elimu yatu watu wanajifunza kujibu mitihani na sio kulenga kama mwanafunzi anakielewa na kile anachojifunza anakuja kukitumia hapo baadae. .

Mwanafunzi wa sheria hajui sheria; wanafunzi wa udaktari hawana ufanisi na kazi niliona mtu kamwandikia mama mjamzito tatu mara moja badala ya moja mara tatu. Ukienda wahasibu ndo bila bila. Kwa ufupi elimu yetu sio elimu shindani hata kidogo. Kuna sehemu nimeona mwanafunzi wa chuo kaandika PRUTABLE badala ya pool table, na ana GPA kubwa tu. .
Kuna madini hapa
 
Nisaidie jamani napata shida kwenye maombi haya mimi nahitaji kujiendeleza lakini vyuo vya serikali haviji katika majaguo yangu
 
Umenena vyema mkuu pia punguza jazba kwenye uandishi typing error ni nying mno ila umesomeka vyema
 
Inatakiwa wadau wa elimu wakutane wabadilishe mitaala kuendana na tehama na mabadiliko ya kielimu sasa. Elimu nayo ni biashara kama biashara nyingine ikiboreshwa italeta tija sana kwenye nchi yetu. .

Kusahihisha mitihani kwa computer inamaanisha majibu yatakuwa ya multiple choice. Vyuo vingi sasa Tanzania vimechukua mfumo huu wa kujibu maswali kwa multiple choices. Wanafunzi hata kama hawajui majinu huwa wanapiga ana ana do anaweka jibu ndio chanzo kikubwa cha kuzalisha wasomi wanao bet, kutwa kushinda kwenye betting na macasino. .

Nadhani mwanafunzi anapimwa kwa kuelewa jambo na anavyoweza kujieleza, wangerudisha tu mfumo wa kizamani wa kumpima mtu kupitia uelewa wake na kujieleza kwake. Elimu yatu watu wanajifunza kujibu mitihani na sio kulenga kama mwanafunzi anakielewa na kile anachojifunza anakuja kukitumia hapo baadae. .

Mwanafunzi wa sheria hajui sheria; wanafunzi wa udaktari hawana ufanisi na kazi niliona mtu kamwandikia mama mjamzito tatu mara moja badala ya moja mara tatu. Ukienda wahasibu ndo bila bila. Kwa ufupi elimu yetu sio elimu shindani hata kidogo. Kuna sehemu nimeona mwanafunzi wa chuo kaandika PRUTABLE badala ya pool table, na ana GPA kubwa tu. .
huu ni mgodi unaotembea aisee kongole kwako
 
1.watu wake wa Tehama sijui waliokota wapi inaonekana ni weupe sana na wamewekwa kindugu ndugu au Ndo wakina elimu za kuunga unga kama ndalichako.Nimejaribu kupitia mfumo wao wa udahihiri waalimu mwaka huu nimejaribu nimegundua kuwa bado kina vilaza wako serikalini. Mfumo wao unaitwa, "tcm.moe.go.tz" ni hatari tupu utafikiri ni watoto walioamua kucheza katika design.
Kwwnye tangazo lao wanasema wafanyakazinwaliopo kazini wanatakiwa kuomba kwa kuambatanishwa barua ya ruhusa lakini vyote hivyo havipo, wenyewe wanachojali ni ile pesa yao ambayo unatakiwa ulipe. Pia sijajua kwanini wamelimiti miaka ya kusoma wkati mtu akiwa kazini anaweza kujiendeleza wakati wowote. Kwwnye muongozo wao machaguoa yako sita ila ukiingia kwenye mfumo unakuta machaguo matatu.
Yawezekana una hoja ila mtiririko wa uwasilishaji ndiyo umeboronga
  1. Logo
  2. Design
  3. Barua
  4. Fedha
  5. Undugu
  6. Ndalichako
Personally sioni connection ya hayo yote
 
Hii wizara bhana ina mambo yake ..Hivi Ni kwann waliamua kufuta masomo ya ufundi na stadi kwa shule za msingi..??? Na somo la Agriculture na ufundi kwny shule za umma ambazo watoto wa maskini tunasoma ....nadhani kunahitajika mageuzi kwny elimu
 
Hii wizara bhana ina mambo yake ..Hivi Ni kwann waliamua kufuta masomo ya ufundi na stadi kwa shule za msingi..??? Na somo la Agriculture na ufundi kwny shule za umma ambazo watoto wa maskini tunasoma ....nadhani kunahitajika mageuzi kwny elimu
Kuna tatizo kubwa sana mimi mpk sasa hivi natafuta kipengele cha waalimu wanaojiendeleza sijakiona
 
Ma IT wa serikali ni vilaza sijawahi ona..hasa waio halmashauri ndio vilaza balaa..unakuta eti mwalimu kajiendeleza kusoma IT ndio anakua mkuu wa tehama unatarajia nini hapo.

Kiukweli hii idara inabidi ifumuliwe yote...imejaza vilaza watupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii wizara ya elimu ina tatizo kubwa ambalo ninaliona katika mifumo yake na sidhani kama inatakiwa kuwa ya kienyeji namna hii.
Mimejaribu kupitia design yake na logo zake zilizopo katika website yao nimegundua kuna tatizo kubwa mno.
1.watu wake wa Tehama sijui waliokota wapi inaonekana ni weupe sana na wamewekwa kindugu ndugu au Ndo wakina elimu za kuunga unga kama ndalichako.Nimejaribu kupitia mfumo wao wa udahihiri waalimu mwaka huu nimejaribu nimegundua kuwa bado kina vilaza wako serikalini. Mfumo wao unaitwa, "tcm.moe.go.tz" ni hatari tupu utafikiri ni watoto walioamua kucheza katika design.
Kwwnye tangazo lao wanasema wafanyakazinwaliopo kazini wanatakiwa kuomba kwa kuambatanishwa barua ya ruhusa lakini vyote hivyo havipo, wenyewe wanachojali ni ile pesa yao ambayo unatakiwa ulipe. Pia sijajua kwanini wamelimiti miaka ya kusoma wkati mtu akiwa kazini anaweza kujiendeleza wakati wowote. Kwwnye muongozo wao machaguoa yako sita ila ukiingia kwenye mfumo unakuta machaguo matatu.

Mara ya kwanza udhaili ulikuwa ukifanyika Nacte sasa sijajua kwanini walihamisha kutoka nacte kuipeleka wizarani.
Wizara ya elimu ingebaki kusimamia sera ya elimu mengine yangebaki kwenye tasisi zilizoko chini yake.Nasikia mna mpango wa pia wanafunzi wanaotaka kujiunga chuo kikuuu maombi yawe yanapitia kwenu kwenye mifumo yenu ilioundwa ovyo ovyo nadhani wanafunzi wengi watakosa vyuo.
2.Nimesikia mnaanza kusahihisha mitiani kwa kompyuta ni jambo zuri ila kama nyinyi wenyewe mliopo wizarani tehama inawashinda itakuwaje kwa waalimu ambao hawajawahi kushika compyuta tangu wazaliwe serikali isichezee elimu za watoto wetu
Unaweza ukawa una hoja lakini ukapuuzwa ndugu, maana haueleweki una shida na Ndalichako, logo (sijui una maanisha ile ya bibi na bwana), mifumo, usahishaji.. yaani nadhani hata wahusika wasikuelewe nini hasa kwako kimekupata na hiyo Wizara? Kwa asilimia kubwa ndio Wizara iliyotulea wote humu, kuitukana ni sawa na kujitukana pia.
 
Back
Top Bottom