manumba kazi ya umbea umbea tu ili apate appearance allowance na kuuza sura tu
Serikali taahira kwa mara nyingine tena yaonyesha utaahira wake. Manumba bila hata ya kumuhoji muhusika, madaktari waliomtibu, kusoma ripoti ya madaktari kuhusiana na mgonjwa wao na bila haya ya kuongea na maofisa wa juu wa Wizara ya Afya aliweza kusimama hadharani na kutoa kauli ya uongo kwamba Mwakyembe hajalishwa sumu.
Sasa sijui kama Mkuu wake wa kazi atamuadabisha kwa kumfukuza kazi, lakini ukiangalia utamaduni wa Serikali hii taahira ni vigumu mno kumfukuza kazi mkosaji yeyote yule vinginevyo Ngeleja angeshashaulika katika baraza la Mawaziri kwa miaka mingi sasa, Mkullo naye angeshasahaulika kwa miaka mingi sasa kwa kutangaza bajeti za mwaka mzima ambazo baada ya miezi miwili tu tangu kutangazwa bajeti hizo Serikali huishiwa pesa au Hussein Mwinyi naye angeshashaulika kwani pamoja na kuahidi kutoa ripoti ya milipuko ya mabomu kule gongo la mboto na mbagala hadi leo hii ripoti hiyo badi imekuwa ni ya hadithini. Kwa hiyo Manumba naye pamoja na kuudanganya umma wa Watanzania ataendelea kupeta tu. Haya ndio matatizo ya kuwa na Serikali taahira ambayo haijui chochote kuhusu neno kuwajibika.
Serikali taahira kwa mara nyingine tena yaonyesha utaahira wake. Manumba bila hata ya kumuhoji muhusika, madaktari waliomtibu, kusoma ripoti ya madaktari kuhusiana na mgonjwa wao na bila haya ya kuongea na maofisa wa juu wa Wizara ya Afya aliweza kusimama hadharani na kutoa kauli ya uongo kwamba Mwakyembe hajalishwa sumu.
Sasa sijui kama Mkuu wake wa kazi atamuadabisha kwa kumfukuza kazi, lakini ukiangalia utamaduni wa Serikali hii taahira ni vigumu mno kumfukuza kazi mkosaji yeyote yule vinginevyo Ngeleja angeshashaulika katika baraza la Mawaziri kwa miaka mingi sasa, Mkullo naye angeshasahaulika kwa miaka mingi sasa kwa kutangaza bajeti za mwaka mzima ambazo baada ya miezi miwili tu tangu kutangazwa bajeti hizo Serikali huishiwa pesa au Hussein Mwinyi naye angeshashaulika kwani pamoja na kuahidi kutoa ripoti ya milipuko ya mabomu kule gongo la mboto na mbagala hadi leo hii ripoti hiyo badi imekuwa ni ya hadithini. Kwa hiyo Manumba naye pamoja na kuudanganya umma wa Watanzania ataendelea kupeta tu. Haya ndio matatizo ya kuwa na Serikali taahira ambayo haijui chochote kuhusu neno kuwajibika.
......... ...... DCI Kanumba na wenzake ........... .... walisoma taarifa feki.Dk. Mwakyembe alikaririwa akisema anachokiona sasa hasa kutokana na kauli hiyo ya jeshi hilo kuanza kuingilia kati na kutoa taarifa kuhusu ugonjwa unaomsumbua wakati bado hajamaliza matibabu ni mpango wa wa mafisadi kuingilia kwenye suala hilo.Ameeleza kukerwa na tamko hilo la polisi hasa katika hali aliyonayo ya ugonjwa na kushangazwa na ufinyu wa uelewa wa jeshi hilo kusisitiza kuwa hajalishwa sumu wakati sumu si lazima unyweshwe ili ikudhuru........
tanzania daima kagazeti ka propaganda ka chadema.
someni muone maneno ya waziri mengine ya huyo mwandishi wenu.