support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 151
- 12
kumbuka statement ya bosi wake said mwema aliposema mafisadi si wakuchezea wakifuatiliwa bila tahadhari nchi itayumba sasa ulitegemea nini kwa dci kutoa majibu simple kwa maswali magumu
Wana jamii mwenendo wa jeshi la polisikupitia kurugenzi ya makosa ya jinai na upelelezi chini ya DCI manumba unaviashiriavya idara hii nyeti kutekwa na mafisadi na hivyo kufanya kazi kwa manufaa yamafisadi hao. Kitendo cha DCI manumba kutokuwa na nia ya dhati kuyafanyia kazimalalamiko ya Dr. Mwakyembe juu ya watu waliokuwa wanamfuatilia kwa lengo lakumuua na tukio la majuzi ambapo DCI huyo ametoa taarifa ya uongo juu ya chanzomaradhi yanayomsumbua Dr. Mwakyemba kinaashilia kuwa ofisa huyu mwandamizi wapolisi yumo kwenye payroll ya mafisadi.
Nawaomba wanajamii watujuze ukwasi (malizinazomilikiwa na DCI Manumba ili tuweze kujua kama unalingana na utumishi wakendani ya jeshi la polisi