Bashungwa ,Prfs kitila mkumbo,Byabato,Mwita hao hawatufai kabisaBashungwa aondoke bila hata hapajakucha..
Mollel ndo kabisaaa hafaiBa
Bashungwa,Silinde,Byabato,Gwajima,Ndugulile,Mwigulu,Waitara,Molel ,na Jalalani,kwa ufupi mama ateue baraza jipya ili alilorithi walishaharibikiwa akili ya kufikiri ,badala ya jinsi gani ya kutatua matatizo wao bado wanafikra za kumtukuza binadamu
Maji Yuko vzr aachwe kakosa mafungu tuAfya
Maji
Maji na aridh wanakujua wanachokifanya.Maji Yuko vzr aachwe kakosa mafungu tu
Approach yake ni mbovuMaji Yuko vzr aachwe kakosa mafungu tu
Maji bado anakurupuka hajatulia.Maji na aridh wanakujua wanachokifanya.
Ukiondoa ya utumishi na mambo ya nje kidogo wizara zingine zote ni mzigo kwa taifaTunalojukumu lakumsaidia Rais kuboresha utendaji. Lakini pia tunalo jukumu lakubainisha Mawazi na Manaibu Waziri wasio faa ili kuwafanya wakaze buti au kumfanya anayeteua kumtambua nakumweka kando.
Kwa kuanza natamani Waziri wa Sheria Kabudi abadilike nakufanya kazi kitaalamu kuliko anavyoendesha mambo kwa propaganda na kujionyesha yeye tu ndo kasoma.
Lakini nimwombe pia mdogo wangu Waitara aache au apunguze glass, awe serious akijua asipojirekebisha atakwenda kukalia benchi. Ameaminiwa na Mhe. Rais anashindwaje kuhifadhi hadhi aliyopewa?
Kitila Mkumbo namshauri atenganishe ualimu na Uwaziri, aondoke kwenye theory aje kwenye practical. Uvumbuzi utamsaidia la sivyo abaki mbunge
Wengine tujuzane
Yule ni hopeless kabisaBashungwa mpumbavu sana, kashindwa kumshauri Rais madhara ya kupostpone game ya Simba vs Yanga itakavyokuwa badala yake kaachia mechi iingie dosari
Na nawapongeza Yanga kwa uamuzi wa kiume, japo mi ni Simba
Aisee tulikisahau vipi hiki kimeo?Faustine aliyepandisha bandle,
Nitawashangaa sana watakao pendekeza hawa watoke ha ummy naona kaanza vizuri TAMISEMIMaji na aridh wanakujua wanachokifanya.