Wizara gani unadhani Waziri wake Ni Mzigo?

Ba

Bashungwa,Silinde,Byabato,Gwajima,Ndugulile,Mwigulu,Waitara,Molel ,na Jalalani,kwa ufupi mama ateue baraza jipya ili alilorithi walishaharibikiwa akili ya kufikiri ,badala ya jinsi gani ya kutatua matatizo wao bado wanafikra za kumtukuza binadamu
Mollel ndo kabisaaa hafai
 
Kiujumla tu ifikie wakati CCM itachie nchi yetu. Mimi naona hao Mawaziri na Serikali yote ya ccm ni majanga tu kwa mustakabari wa nchi yetu.
 
Tunalojukumu lakumsaidia Rais kuboresha utendaji. Lakini pia tunalo jukumu lakubainisha Mawazi na Manaibu Waziri wasio faa ili kuwafanya wakaze buti au kumfanya anayeteua kumtambua nakumweka kando.

Kwa kuanza natamani Waziri wa Sheria Kabudi abadilike nakufanya kazi kitaalamu kuliko anavyoendesha mambo kwa propaganda na kujionyesha yeye tu ndo kasoma.

Lakini nimwombe pia mdogo wangu Waitara aache au apunguze glass, awe serious akijua asipojirekebisha atakwenda kukalia benchi. Ameaminiwa na Mhe. Rais anashindwaje kuhifadhi hadhi aliyopewa?

Kitila Mkumbo namshauri atenganishe ualimu na Uwaziri, aondoke kwenye theory aje kwenye practical. Uvumbuzi utamsaidia la sivyo abaki mbunge

Wengine tujuzane
Ukiondoa ya utumishi na mambo ya nje kidogo wizara zingine zote ni mzigo kwa taifa
 
Maji na aridh wanakujua wanachokifanya.
Nitawashangaa sana watakao pendekeza hawa watoke ha ummy naona kaanza vizuri TAMISEMI

Tatizo watu wanataka maji yatoke hadi chumban kwake ndio aone waziri anapambana , tanzania ni kubwa sana hii na mahitaji ni makubwa sana kwa sehemu nyingi sana ya nchi ila ukitazama utendaji overall hao wapo vizur
 
Aanze kuondoka kwanza waziri mkuy kwa uongo wake uliotukuka, afauate ndungulile na hawara yake ndalichako.
 
Profess majalala..kazi kutumbua mi macho tu..ameonyesha namna gani uprofesa ni ujinga wa aina yake..wakupuuzwa kashusha dhamani ya ma prof tz.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom