Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 477
Mama mmoja alikuwa akihisi mumewe anatembea na hausigeli wao. Wikiendi moja bila mumewe kuwepo nyumbani wala kujua, huyo dada akamwambia mfanyakazi aende kwao siku mbili mapumziko. Usiku yule mama akaingia chumbani kwa hausigeli akazima taa akalala. Mara mlango ukasukumwa akaingia mtu fasta fasta wakaanza kufanya ngono. Wamemaliza anamwambia , mume wangu hukudhania ungenikuta humu leo nimekukamata kumbe hausegeli huwa unampa mapenzi matamu namna hii kuliko mimi mkeo leo utanieleza vizuri .kisha akawasha taa akakuta ni mlinzi wao.