Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
- Thread starter
- #21
kati ya yoooote uliyoyaongea hapo ndo mwisho wa matatizo, huna jinsi...... mimi nina jinsi.....I am not with you anymore, unaweza kufanya chochote na hakinihusu.....kila mtu ame-move on na maisha yanaendelea.
mimi nilichosema kwangu haki-apply ni kwamba lazima usikie kawivu kwa x, ukiona kuwa bado unakawivu ujue bado unampenda, na ndo maana itakuwa rahisi sana kwenu kurudiana sababu bado mnapendana..... wanasema kiporo hakihitaji moto mwingi, siyo?
nitarudi kupangua hizi longolongo bin denialism bin etcetera zako pamoja na falsafa za mars za kiranga, laters