shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,154
No, Mzee Mwanakijiji! It is the other way round! It was low voter turnout that helped CHADEMA got the votes they garnered! Wanaoipenda CCM ndiyo wengi hawakwenda kupiga kura. It is CCM members who are normally complacent and don't turn out in big numbers to vote, especially women and the aged. "CCM tutashinda tu hata nisipokwenda kupiga kura", they would say. But show me vijana wa CHADEMA ambao this time around hawakwenda kupiga kura? Wakisaidiwa na wasaliti wenye vinyongo BINAFSI ndani ya CCM (siyo walioichoka CCM). Complacency hii ya wanaCCM kutokwenda kupiga kura, na mahali pengine siyo complacency bali vitisho na hila za wapinzani dhidi ya wanawake na wazee wa CCM, (of course na usaliti) vikitafutiwa dawa na CCM, come 2015 wapinzani watashangaa! Wabunge wao watakuwa wachache Bungeni kuliko ilivyokuwa 2005 - 2010.
Tatizo lingine ni uharisia wa hizo figure.hivyo analysis inakuwa haitaonyesha uharisia