()*()*() wishing you a happy birthday paw ()*()*()

()*()*() wishing you a happy birthday paw ()*()*()

AshaDii

Platinum Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
16,189
Reaction score
18,117


"Paw my Pal (kwa kulazimisha...lol) and my best Mod"


Naamini kua kazi za Mods ni kubwa na nyingi pia…
Zipo in varieties kila kipengele na Ugumu wake…
thou hatuwezi tambua for sie kama Members hatuelewi hasa nini kinafanyika;

Pamoja na hayo kuna kipengele ambacho ni maarufu…
kila member afahamu FIKA kuhusu Ban… Kazi ambayo ni moja ya kazi/jukumu lako
(hasa mtu anapokua uncontrollable) Kazi yako waifanya kwa moyo mmoja as much
as it is hard for you na most hawaelewi how it is/feels to be in your shoes….
Hio ni moja ya sababu I had admired you…
Your Hard Work and Msimamo.



Paw… Genuinely remain the way you are ever….
And on this Special day which happens every day of your life may you Prosper,
Rejuvenate and become more Superior in all your Great Qualities….
Mwenyezi Mungu Akubariki na Kukuneemesha na Pia kukujalia Maisha marefu…



Pal… It is an Honour to Wish you a Happy Birthday Whether you like it OR Not.


:A S-rose::A S-rose::A S-rose:...HAPPY BIRTHDAY PAW...:A S-rose::A S-rose::A S-rose:

 
Ni tar 02 Dec au 03 Dec?

Happy Birthday
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Happy Birthday Paw....naomba nikushikie umodereta kipindi hiki ambacho unasherekea birthday yako
 
kumbe PAW ni mtu? Nilidhani ni automated system ndani ya jf
 
  • Thanks
Reactions: Paw
dah...Happy birthday Paw

Issue ni kwamba ningependa nione jisi watu tunajishaua hapa kumuwish, ili tusipate ban lol😛oa

sweetie ivi Paw inawezekana akapenda bia?
 
Happy Birthday Paw....naomba nikushikie umodereta kipindi hiki ambacho unasherekea birthday yako

we utaleta personal interests kuwapa wapwa ban.....bora mtu mwingine hapo navetto
 
  • Thanks
Reactions: Paw
dah...Happy birthday Paw

Issue ni kwamba ningependa nione jisi watu tunajishaua hapa kumuwish, ili tusipate ban lol😛oa

sweetie ivi Paw inawezekana akapenda bia?



Sweetie tena ni mpenzi saana wa shots za tarquilla (bia itakua kama anapasha tu....lol) Naomba usimfanye atoe uchanga wake kwa kum-provoke... Give him a Break Love he deserves it..... (Alafu nenda page ya 10 ya PA hapa... Kongosho mkorofi....lol)
 
Wee kweli ni kiboko, umeniibia property yangu for good 10days, afu unachochea nipate ban ili uendelee kutesa naye?

My ghost will haunt you

(Alafu nenda page ya 10 ya PA hapa... Kongosho mkorofi....lol)
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Hahahah. . .
Hata nikikupa ban bado utafikiria nafaa?


Ukichukua tu hilo rungu adabu inakuja yenyewe.... Ukipita njia hii, napita nyingine... hapo baaas.lol
 
  • Thanks
Reactions: Paw

Similar Discussions

Back
Top Bottom