Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,109
- 3,054
Kuna mabasi yanafanya safari ndefu sana ambazo nyingine huchukua hata zaidi ya siku moja.
Naomba kuuliza jamani hivi kiutaalamu basi linaweza likafungwa mitambo ya Wi~fi na ikafanya kazi ndani ya basi likiwa safarini na abiria kufaidi huduma hiyo?
Naomba kuuliza jamani hivi kiutaalamu basi linaweza likafungwa mitambo ya Wi~fi na ikafanya kazi ndani ya basi likiwa safarini na abiria kufaidi huduma hiyo?
Kuna bus inaitwa Modern, inafanya kazi kati ya Mombasa, Tanga hadi Dar, ina Wi-Fi.
Ni jambo linalowezekana kabisa. Labda demand haijawa kubwa kiasi cha kuwafanya wamiliki watumie hiyo fursa kuvutia abiria.
Ndiyo maana mabasi yenye AC kwa siku za karibuni yamevutia sana wateja.