Quicklime
Senior Member
- Mar 30, 2011
- 174
- 62
Habari zenu wakuu mbalimbali
Anyway niende moja kwa moja kwenye mada husika,jana niliupdate windows systems ya pc yangu!ni windows 10…cha ajabu imekuwa nzito kuitumia hadi kero,unaweza jua click kitu mpaka kifunguke ni shida nyingine…
So mwenye uzoefu tafadhali anisaidie jinsi ya kuondoa hii changamoto!
Nawasilisha
Anyway niende moja kwa moja kwenye mada husika,jana niliupdate windows systems ya pc yangu!ni windows 10…cha ajabu imekuwa nzito kuitumia hadi kero,unaweza jua click kitu mpaka kifunguke ni shida nyingine…
So mwenye uzoefu tafadhali anisaidie jinsi ya kuondoa hii changamoto!
Nawasilisha