Windows 10 overtakes XP and 8.1, still lags behind 7

Mkuu kwann makampuni mengi kama taasisi za fedha hapa tz wanatumia XP?
 
Mkuu kwann makampuni mengi kama taasisi za fedha hapa tz wanatumia XP?

kama nilivyoeleza hapo juu os za zamani zinakuwa stable sababu bugs nyingi zimeshakuwa fixed.

pia kunakuwa na legacy software ambazo zinafanya kazi vizuri kwenye os za zamani.

ila umoja wa atm wameshakubaliana kuhamia windows 10 na makampuni mengi yanahamia 10 sababu unaweza kuilock down mahala unapoona ipo stable.
 
Hello guys! Nimefuatilia vizuri sana huu mjadala wa Win10. Binafsi nina HP630 ikiwa na AMD Vision processor.
Shida nilokuwa nayo ni kuwa hapa juzi kati nili-upgrade from Windows7 Ultimate to 10.
Mara ya kwanza nili-experience Black Screen. Ila baadae nikaweza kufix hiyo problem baada ya kuileta issue jamvini hapa na pia baada ya kupitia other forums.
Win10 niliipenda sana hasa UI yake. Ila badae nikaanza kuexperience mambo yafuatayo;
*ukiweka movie inakuwa inastuck regardless ya player utakayotumia. Yaani hadi VLC full ku-stuck. So ikapoteza raha ya video.
* Shida nyingine nilokuwa nayo ni kuws baada ya upgrade ngoma ilikataa kabisa kudetect projector na wakati PC hii ndio huwa nafanyia presentation hapa kazini. So nilikwama wakati PC hii hii ikiwa na Win7 niliweza kufanyia shughuli zangu zote.
So hatma ya yote pamoja na kuipenda sana Win10 I had to downgrade to the same good old school Win7 kupunguza stress.
Ila sasa na huku Win7 kuna issue na kutana nayo. Kila niki-right click inanileta message ya Windows Explorer has stopped working then inafunga all the open windows. How do I handle this problem?? Cc: CHIEF MKWAWA
 
hizo issue za juu zote zina kitu kimoja kinachofanana nacho ni graphics, huwenda hukuweka drivers za graphics ndio maana ikawa inazingua mambo yote hayo

kuhusu explorer ikijifunga huwa app hazijifungi ila tu unakuwa huzioni sababu taskbar nayo inapotea unaweza kuswitch toka app moja kwenda nyengine kwa kutumia keyboard shortcut ya alt+tab

kabla ya kutafuta solution windows yako ipo updated mpaka version ya mwisho? ni service pack 1?
 
mkuu Chief-Mkwawa hivi hizi 5th generation and 6th Generation intel processors bongo zishaingia kweli, maanake huko dukan mpak sas bado nakutana na series ya 4k tu!
 
mkuu Chief-Mkwawa hivi hizi 5th generation and 6th Generation intel processors bongo zishaingia kweli, maanake huko dukan mpak sas bado nakutana na series ya 4k tu!
5 pia zipo nimewahi ziona u series

ila 6 sijawahi ziona ila i hope pia u series zipo.

ukizunguka zunguka madukani utaona computer za i3 5005u hizo ni broadwell (generation ya 5)
 
Hivi chief ukitaka nina hp core i7 ina Amd gpu nasukuma ma game makali kama gta v dirty 3 euro truck simulator latest version but ni crack version na steam zote. Windows yangu ni 8.1 pro inaniletea ku update to windows 10 pro je programs zangu za game zitakuwa vile vile kama unavyo update android phone apps zinabaki vile vile au italeta my computer na recycle bin tu kwenye deaktop after upgrade
 
uki update vitu vyako vitabaki na ukifanya clean installation vitapotea, ila sikuhakikishii kama crack zako zitaendeleA kufanya kazi zinaweza zikafanya au zisifanye
 
Mie sio mtaalamu sana wa hizi computa ila nimekuwa mtumiaji sana wa computa kwa muda mrefu na nimetumia window nyingi xp, 7, 8 na sasa niliupdate to 10. Naona window 10 iko powq sana, naipenda maana imeongeza speed ya pc yangu, ishu ya virus imepungua, then naipenda internet explorer iko very fast, pia ishu ya ads imepungua kama sio kwisha kabisa.
Kiujumla naona ni powa kwa matumizi ya kawaida, labda nyie mnaotumia kwa mambo mengine technically zaidi ndio mnaona mizinguo.
 
me natumia window 8.1 iko poa sana haina shida window difender ina fanya kazi vzuri kabisaa pia pc yangu n kubwa core i7 3.3 ghz processor hdd 500 ram 6 GB
 
Window 7 sijaona wakumpita window 10 kwakikata network kutokubali other apps hata kaspersky inaikataa ikiikubali ujue itablock net
 
Window 7 sijaona wakumpita window 10 kwakikata network kutokubali other apps hata kaspersky inaikataa ikiikubali ujue itablock net

Cha msingi mkuu ni kujua kwamba, mtaka cha uvunguni sharti ainame. Nunua windows 10, install na weka all updates na drivers...nunua anti virus ambayo ina-run na windows 10.

Hawa developers Siku zote wanapotoa OS mpya, lazima pia kwenye soko wadau wao watoe softwares ambazo zipo kwa ajili ya OS hiyo zitakazotumika kwenye Kompyuta mpya zenye uwezo wa ku-handle OS hizo.Fikiria tu kama unavyoona biashara ya simu na softwares zake.

NB: wale wa zamani pia tunaweza ku-upgrade lakini hakikisha unakidhi viwango otherwise utaumiza sana kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…