Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,655
.... user friendlyUkweli ni kwamba window 7 na xp ni friendly user.
.... user friendlyUkweli ni kwamba window 7 na xp ni friendly user.
Chief-Mkwawa Hapo kwenye metered connection ndo umeniacha mkuu..!!hio comment yangu kama umeisoma vizuri imegawanyika mara mbili windows ya sasa (win 10) na windows za zamani.
ili usipate auto updates inabidi uwe na win 10 pro au enterprise/education. home ina auto updates
pia ukieka metered connection pc haiwezi kuji update yenyewe sababu umeiambia kuwa bundle yako ni ndogo
sometime unaweza dakwa, pc yako ilikuja na windows gani? kama ni 7 tumia key zako za 7 (cheki chini ya laptop) then eka windows 10 halafu activAte na hizo keyKama natumia cracked version ya win 8.1 niki install updates za windows kuna tatizo??? Itaniletea shida kwenye window??
ukiwa na home version huwezi ku opt out updates (inaweza kuchange baadae) mpaka uwe na pro au enterprise.Chief-Mkwawa Hapo kwenye metered connection ndo umeniacha mkuu..!!
View attachment 321415
Hii screenshot ni ya updates ambazo zime stuck hapo kitambo tuu na nashindwa cancel pia chini ni setting pekee nazoweza zifanya japo natumia W10 Pro
View attachment 321417
Tafadhali kama waweza nisaidia chochote hapo maana "I can only schedule installing updates ila sio kuchagua ku download ama kuto download updates hizo.
ukiwa na home version huwezi ku opt out updates (inaweza kuchange baadae) mpaka uwe na pro au enterprise.
na metered connection ipo kwenye wifi setting then advanced ukiieka on pc itakuwa haitumii data zako lakini utalimbikiza updates, so ukiwa na bundle ndogo ieke on na siku ukiwa na bundle kubwa ieke off.
kama unaona inakuzingua hivyo update toka home hadi pro au education au enterprise hizo unaweza eka off updates
View attachment 321473
Sikusema kwamba natumia Home Chief-Mkwawa labda kama kuna Pro nyingine zaidi ya hii ninayoitumia (nilifikiri ungepaona hapo nlipopaonesha sasa hivi kwa hizo arrows).
Wacha nitafanyia kazi hilo la setting ya Wi-Fi maana sikuwahi gundua kuna option hiyo.
Kwangu huu ndo ugonjwa upo kwenye windows 10 japo wenzetu walio na net za uhakika ndio wanaifaidi nimehangaika nayo mda ila hakuna namna. Tasks za kawaida ipo vizuri ila za kujiongeza inabidi tuu uwe na mashine nyingine yenye windows 7ok nimekuelewa nimecheki net huwezi kucancel kabisa updates bali unaweza kudelay tu usiziweke sasa hivi mpaka baada ya kipindi fulani (nafikiri hata 7 ilikuwa hivi)
hilo neno hapo chini defer upgrades umejaribu kucheki maana yake? naona lina maelezo zaidi
Kwangu huu ndo ugonjwa upo kwenye windows 10 japo wenzetu walio na net za uhakika ndio wanaifaidi nimehangaika nayo mda ila hakuna namna. Tasks za kawaida ipo vizuri ila za kujiongeza inabidi tuu uwe na mashine nyingine yenye windows 7
mi machine yangu inasumbua ku update winwow10
hii ni kwanini?????????
version iliyopo ni window 7 ebu nipe jibu mkuuu
Ahsante nitajaribu hiyo
hazitakubali, kutoka xp kuja 7 ni lazima ulipie.Chief naomba kuuliza kitu nna pc ambayo kwa sasa ina windows 8 pro but nlivoinnua ilkuwa na windows xp professional
So nnachotaka kujua ni kuwa mfano nikidownload windows 7proffession ambyo sna key zake nikiweka hizi za xp hapa kwenye pc ztakubali?
Mkuu mim nmefanya dual installation ya Win 10 edu na Win7 Ulthazitakubali, kutoka xp kuja 7 ni lazima ulipie.
ndio hasa games na vitu vinavyohitaji graphics.Mkuu mim nmefanya dual installation ya Win 10 edu na Win7 Ult
Huwa napush heavy duty Stuff zote e.g. Games kweny Win 7.
Win10 naipenda sana na nmeiweka tu ili kupush very light stuff kama kubrowse, youtube, email, Docs, kuplay movies n.k.
Hiv Win 10 inaweza push heavy stuff kwel na ikawa stable?
laptop yangu ina w8 enterprise iliwekwa dukani wakati nilipo inunua, shida iliyopo nashidwa ku upgrade kwenda 8.1haipo kwenye store hii vipi nalazimika kununua hiyo w8.1 upya????
Kuna kike ki stupid circle kinazunguka kina boa kweli. Ni kama downgrade from Windows 7.Windows 10 bado sio stable kabisa
inategemea pia unaitumia kufanya nini