Hivi wewe unadhani fedha zako pale bank zipo salama kwasababu ya updates za security ya Microsoft?
Mnachanganya sana mambo mkuu
Kwahiyo Microsoft ndio wanazuia hackers wasi hack system za bank?Fafanua hicho unachodhani kinachanganywa: mfano ni huu; Vila protection hackers wanaweza kuingilia transaction za taasisi za Fedha na kufanya transfers, ndiyo maana kuna nchi zilikuwa zimejitolea kulipa ili Microsoft wa-extend ili kuzuia madhara kwa makampuni yao.
Ishazikwa hiyo XP. Infact ilishafail before they launched it
duh os nzuri kupata kutengenezwa duniani unaiita failure? unajua xp inarun kwenye 256mb ram even os za simu hazikubali hardware ndogo kama hiyo
Jiulize swali dogo tu....kwanini XP kuna muda inashindwa kuperform some tasks na inakuprompt kuingia w7 ??
It failed since then but ilikua ni lazima wailaunch tu kukwepa hasara.
If it was the best wasingeishut down. Runnig in 256mb doesn't measure the efficiency
kila os na task zake ilizotengenezewa na kuna task haziko compatible na xp. hata leo windows 8 huwezi eka software ya ios sababu zile soctware hazijawa designed kufanya kazi kule. je tupe nfano hio task inayokataa xp na kucorupt.
hivi vitu vinaifanya xp iwe next level kaka na sio failure
1.kaka windows xp inapata support mwaka wa 13 huu haikushangazi? hebu taja os yenye support ya muda mrefu kama hio. mamilion ya updates toka mwaka huo hadi leo
2. os ambayo ni failure haitumiki kwenye mabank na atm sababu hela ndio sabuni ya roho. nani mjinga akabidhi hela kwenye os failure?
3. japo ina mwaka wa 13 kwenye soko lakini inashikilia asilimia 36 ya computer kwenye marketshare. kwa lugha nyengine kila computer 100 basi 36 zinatumia xp.
4.ni efficient. same program inataka hardware kubwa kwenye os zengine ila inahitaji hardware ndogo kwenye xp.
5. less bloatware. kwenye xp hakuna mambo kama ya vista na win7 hakuna apps nyingi zinazofanya kazi chini kwa chini na kufanya computer iwe slow
6. stability. kwenye xp computer unatumia hata miezi bila kuzima na bila kuwa slow ila huku kwenye 7 na kuendelea kuna kuna kama haya mambo ya blue screen o death.
7. njia rahisi ya kuepuka virusi vyote. karibia virusi vyote vinamdhuru administrator ukiwa na xp ukaingia kama guest basi 99% ya virusi umeviepuka.
kaka xp itabaki kuwa os bora zaidi kupata kutengenezwa
Point of correction mimi sio kaka.
Ubishi siwezi ila nijibu swali hili, KAMA XP INA SIFA ZOTE HIZO... NI KWANINI WAMEIPIGA CHINI??
mnatiana hofu tu, ni watu wangapi walishawahi omba support microsoft hapa?
Sisi tunatumia pirated os na softwares kwa hiyo hata wasipotupa support poa tu.
kwani mwisho wake ni mwezi gani ndugu? tusaidiane kwani mm natumia window xp kwenye computer yangu
Hivi wewe unadhani fedha zako pale bank zipo salama kwasababu ya updates za security ya Microsoft?
Mnachanganya sana mambo mkuu
Fafanua hicho unachodhani kinachanganywa: mfano ni huu; Vila protection hackers wanaweza kuingilia transaction za taasisi za Fedha na kufanya transfers, ndiyo maana kuna nchi zilikuwa zimejitolea kulipa ili Microsoft wa-extend ili kuzuia madhara kwa makampuni yao.
Kwahiyo Microsoft ndio wanazuia hackers wasi hack system za bank?
Jiulize swali dogo tu....kwanini XP kuna muda inashindwa kuperform some tasks na inakuprompt kuingia w7 ??
It failed since then but ilikua ni lazima wailaunch tu kukwepa hasara.
If it was the best wasingeishut down. Runnig in 256mb doesn't measure the efficiency
Fafanua hicho unachodhani kinachanganywa: mfano ni huu; Vila protection hackers wanaweza kuingilia transaction za taasisi za Fedha na kufanya transfers, ndiyo maana kuna nchi zilikuwa zimejitolea kulipa ili Microsoft wa-extend ili kuzuia madhara kwa makampuni yao.
Mkuu watu wengine wana argument za ajabu sana aiseeNa wewe jiulize swali dogo kabla windows 7 haijatengenezwa hizo application zilikua zinaprompt kuwa u switch to Win 7?
Ishazikwa hiyo XP. Infact ilishafail before they launched it