okaoni
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 1,471
- 1,308
Umesahau kuna sababu za kibiashara? watu tunalazimiswhwa kuingia 8 kwa sababu wameshaweka security ngini ambazo si rahisi kuzichakachua na italazimika ununue Microsoft . XP wajanja walishaizoea sana na kuweza kutengeneza mpaka application softwares ambazo sio za kwao likini zilikuwa compactible na XPNa wewe jiulize swali dogo kabla windows 7 haijatengenezwa hizo application zilikua zinaprompt kuwa u switch to Win 7?