Wimbo umeimbwa na B BOY featuring STOPPER.hivi hii nyimbo aliimbaga nani
verse ya kwanza:
Mara ya kwanza kukuona ilikuwa coco beach
washkaji kulizia wakasema we m bichi
wakanipa story zako kwamba uko form six
shule moja maarufu hapa jijini Dares salaam"
WADAU KWA ANAYEJUA WIMBO HUO KAIMBA NANI ANISAIDIE DAAAA NI KITAMBO LIKE BACK IN 2003 FLAN HV
Mwimbaji anitwa Bee Boy. Ni mwaka 2003/4 kama sijakoseahivi hii nyimbo aliimbaga nani
verse ya kwanza:
Mara ya kwanza kukuona ilikuwa coco beach
washkaji kulizia wakasema we m bichi
wakanipa story zako kwamba uko form six
shule moja maarufu hapa jijini Dares salaam"
WADAU KWA ANAYEJUA WIMBO HUO KAIMBA NANI ANISAIDIE DAAAA NI KITAMBO LIKE BACK IN 2003 FLAN HV
Hapana, sio mez bmez b ( r.i.p)
Sio wa nature.!Juma kiroboto a.k.a nature ktk ubora wake
2000 mwanzoni ndio imetoka, msanii B Boy...Hhmm.. Mkuu, hyo sijawahi isikia, au remix ya sitak demu
Nishaisoma hoyo ngoma.2000 mwanzoni ndio imetoka, msanii B Boy...
hivi hii nyimbo aliimbaga nani
verse ya kwanza:
Mara ya kwanza kukuona ilikuwa coco beach
washkaji kulizia wakasema we m bichi
wakanipa story zako kwamba uko form six
shule moja maarufu hapa jijini Dares salaam"
WADAU KWA ANAYEJUA WIMBO HUO KAIMBA NANI ANISAIDIE DAAAA NI KITAMBO LIKE BACK IN 2003 FLAN HV
Yap mkuu nilichanganya kidogoAlikuwa anaitwa B Boy.......sijui yupo wapi siku hizi.!