King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
chadema inajiendesha kwa kodi za wananchi? nahisi sielewi maana ya kodi...
<br />
<br />Mimi nadhani CDM kama taasisi inayojiendesha kwa kodi zetu wananchi, watangaze shindano la kutunga nyimbo na vitu vingine kwa ajili ya sherehe za miaka 50, wazijumuishe shule za misingi, sekondari na vyuo na baadae kuwepo na tamasha la wilaya, mkoa, kanda hadi kitaifa. Hilo litasaidia mengi, sitaki kumwaga mchele wote hapa. <br />
<br />
Ila najua serikali wataanza oooooh, siasa mashuleni hazitakiwi. Mara sijui, lakini cha msingi ni kutafuta namna nzuri ya kurudisha kodi kwa wananchi na siyo kuwahonga wakati wa kampeni.
<br />