Wimbo upi? Kumbukumbu ipi?

it's all coming back to me now wa celin dion........... unanikumbusha Joseph Wang after his death maana ndo ulikuwa unanifariji

go the distance by Michael Bolton unanikumbusha
siku nahitimu form four phwezi girls mkoani Rumphi nchini Malawi

thats why you go away wa Lionel Rich..... nilipo achwa na first man whom I loved ever

Thats why you go away Sio Wa Michael Learns The Rock Mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa umenikumbusha mambo ya kuandika barua kwenye zile karatasi zenye maua na kupulizia perfume. ..
Dahhh!

Hivi sijui kama bado zipo zile karatasi hahaa mtu akiikosa ile yupo tayari achore moyo uliochomwa mshale
Aisee
 
How Am I supposed To Live Without You Wa Michael Borton, Unanikumbusha Tukio Moja Baya Sana, Pale Mpenzi Wangu Wa Moyo na maisha Yangu Hasnat Alipogongwa na Gari Mbele ya Macho Yangu ni Tukio Ambalo Halitafutika Milele.
 
it's all coming back to me now wa celin dion........... unanikumbusha Joseph Wang after his death maana ndo ulikuwa unanifariji

go the distance by Michael Bolton unanikumbusha
siku nahitimu form four phwezi girls mkoani Rumphi nchini Malawi

thats why you go away wa Lionel Rich..... nilipo achwa na first man whom I loved ever
Lionel Richie? Nah. MLTR sista.
 
Last edited by a moderator:
these are the unforgettable moments am talking about...hutasahau kamwe as long as hiyo "sweet life" ya fally ipupa ipo hai....kweli life with music is sweet

hiyo nyimbo kwangu haichuji, naweza kui-reply hata siku nzima na siichoka
 
Wimbo wa mzee wa busara unanikumbusha siku ya kwanza unatoka niliusikiliza radio free africa masafa ya kati mitabendi 1600 kipindi kinaitwa showtime, nakumbuka nilikuwa nachunga ng'ombe zetu takriban 64 mbuzi 40, na kondoo 26 peke yangu, nakumbuka marisho yalikuwa takribani kilomita 8-13 toka nyumbani, #Sitosahau
teh teh teh! we jamaa kwa takwimu kama mzee pombe magufuli
 
"shika mikono yangu"....huu mwimbo upo kitabu cha nyimbo za kikristo za Kilutheri.Ninapo pitia magumu na kukata tamaa hua maneno ya mwimbo huu yana "replay" kuchwani.Nafarijika na kupata nguvu mpya!!
 
Kwangu ni I dont wanna miss a thing by aero smith in late ninties ulikuwa unanipa hope sana hasa kwenye kutimiza ndoto zangu kimapenz na kimasomo
 
679 - Fetty Wap Feat. Remy Boyz

Unanikumbusha majuzi nikiwa Lenox mall niki-browse ndani ya Nieman Marcus ghafla nikausikia unatwanga kwenye PAS.

Kugeuka nikamwona red bone mmoja akinenguka.....nikasema 'that's what's up'.



*Huyo mchuchu mweupe hapo mwanzoni....she's da bizness**
 
Last edited by a moderator:
i will run away by the corrs nakumbuka nimeaza penzi la kwanza yani full kuiachai japo sa hivi alipo tena
 
Siku hizi si dijitali. Kila kitu Watsap sijui mara Facebook. Hata ile raha ya kumuona mtu analia lia na mwandiko wake mbovu hata haipo.
Hahahaaaaa wiki haipiti mtu hujaenda stationery kununua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom