Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Msanii anayejitabainisha kama King wa Muziki Tanzania, Ali Kiba ametambulisha ngoma yake mpya rasmi leo akiwa kwenye kituo cha Redio kinachopenda kumbeba kwa gharama yoyote 'Clouds FM'.
Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la 'KADOGO' na inatarajiwa kupakiwa kwenye mtandao wa YouTube leo ALHAMISI kama masharti ya mtaalam yanavyomtaka.
Kwa wale msiojua ni kwamba Ali Kiba ana masharti ya kuweka nyimbo zake Youtube siku za ALHAMISI tu na yeye amewahi kukiri baada ya kupakia wimbo wa ''HELA'' na kushambuliwa na mashabiki zake kutoa ngoma ya hovyo.
Katika utetezi wake alisema alikosea masharti labda ndio maana alishambuliwa sana, na baadaye aliipakia upya ngoma hiyo siku ya ALHAMISI na kelele hazikusikika sana.
Kila La kheri King Kiba. Yooooo... Pop it up ''Papiri papiri'
Ngoma hiyo inakwenda kwa jina la 'KADOGO' na inatarajiwa kupakiwa kwenye mtandao wa YouTube leo ALHAMISI kama masharti ya mtaalam yanavyomtaka.
Kwa wale msiojua ni kwamba Ali Kiba ana masharti ya kuweka nyimbo zake Youtube siku za ALHAMISI tu na yeye amewahi kukiri baada ya kupakia wimbo wa ''HELA'' na kushambuliwa na mashabiki zake kutoa ngoma ya hovyo.
Katika utetezi wake alisema alikosea masharti labda ndio maana alishambuliwa sana, na baadaye aliipakia upya ngoma hiyo siku ya ALHAMISI na kelele hazikusikika sana.
Kila La kheri King Kiba. Yooooo... Pop it up ''Papiri papiri'