Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Ushuzi tu huoJamaa anajua sana
Ushuzi tu huoJamaa anajua sana
daahKwa kweli huu wimbo unafaa sana kuwekwa jalalani
Naona mmeshafunga shule !!!?Nonsense
Nimesema kuwa kwa waumin waki islam siku za alhamis na ijumaa ni siku zenye baraka. Hayo mambo ya freemason yanatoka wapi? kipi kilianza mwanzo kati ya uislam na Freemason?Alhamisi Ni siku ya Freemason Kama hamjui
Alhamisi Ni siku ya Freemason ko Kama waislam wanasapoti ufreemason it's ok kwasababu muziki ni zao la biashara la FreemasonNimesema kuwa kwa waumin waki islam siku za alhamis na ijumaa ni siku zenye baraka. Hayo mambo ya freemason yanatoka wapi? kipi kilianza mwanzo kati ya uislam na Freemason?
hapana hii hata kwenye maandiko ipo usiwatumikie mabwana wawili kwa wakati mmoja
Anasafiria nyota ya Mondi, wanaomchukia mondi wanaamua kulazimika kumsapoti jamaa. Bila mondi jamaa angekuwa kama hakeem 5.Daah jamaa ana sapoti kubwa sana ya mashabiki tatzo cjui anakwama wapi,wimbo wa kawaida
anataka acheze mpira na aimbe dah bongo kuna vituko hiv
Memphis Depay wa olimpic lionanataka acheze mpira na aimbe dah bongo kuna vituko hivi nani aliwahi fanya vitu kama hivi dunian
Labda hit ya Clouds, kitaani siisikiiHiyo ngoma imekuwa ndio #1 hit ya Tanzania kwa sasa " hakuna siku ambayo sijawahi kuisikia tangu iwe released ... na huwa naisikia zaidi ya mara 3 per day " .... come back ya alikiba This time sio ya mchezo mchezo ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayaula Mayoni.anataka acheze mpira na aimbe dah bongo kuna vituko hivi nani aliwahi fanya vitu kama hivi dunian