Kama mmeamua kufa na tai shingoni sio mbayasisi washabiki wake ndo tunapenda hicho anachokifanya...so usimpangie cha kushika...kawapangie wale waimba nyegeee
Kwani haviwezi kuanzia hapa na wengine wakaiga?anataka acheze mpira na aimbe dah bongo kuna vituko hivi nani aliwahi fanya vitu kama hivi dunian
si ndio maana anafeli upande mmoja angekua anamaintain kote tungempongezaKwani haviwezi kuanzia hapa na wengine wakaiga?
Umepoteza bando kwenye nn mzeenimepoteza bando langu bure kumbe ni yale masebene yake ya siku zote abadilike jamani
Hahaaah sasa mkuu msanii kama wewe humpendi akitokea mtu kumpenda ndo kufa na tai shingoni...unataka wote tupende nyegee kama wewe...or we unavyopenda kuimba nyegeee ndo unakufa na tai shingoniKama mmeamua kufa na tai shingoni sio mbaya
Ila poleni sana
Sisi washabiki wake ndo tunapenda hayo masebene...nyie msiompenda muziki wake nendeni kule kaimbeni nyegeeee huku mnacheza michezo ya umber rutynimepoteza bando langu bure kumbe ni yale masebene yake ya siku zote abadilike jamani
Sasa kumbe ni biashara,kwa hiyo ulikuwa unashangaa nini mtu kufanya biashara mbili mziki na mpirahakuna biashara ya bure ww jezi za costal kuandikwa mofaya ana percentage yake sio lazma apate pesa kupitia mshahara
Bado na kwenye mpira kuna siku huyu kibakuli atakimbia na mpira kwapaniHahaaah sasa mkuu msanii kama wewe humpendi akitokea mtu kumpenda ndo kufa na tai shingoni...unataka wote tupende nyegee kama wewe...or we unavyopenda kuimba nyegeee ndo unakufa na tai shingoni
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahBado na kwenye mpira kuna siku huyu kibakuli atakimbia na mpira kwapani
We akikimbia na mpira kwapani inauma niniBado na kwenye mpira kuna siku huyu kibakuli atakimbia na mpira kwapani
hainiumi ila itanishangaza, kwanini kibakuli kila anachoshika kinamuunguza?We akikimbia na mpira kwapani inauma nini
Wewe unaona kinamuunguza sababu sio shabiki wake,icho unachoona kinamuunguza si ndo tunakipenda so acha aendelee kuvishika vimuunguze si tufurahihainiumi ila itanishangaza, kwanini kibakuli kila anachoshika kinamuunguza?
Kabweteka. Kaesharidhika. Alichokitafuta amekipataDaah jamaa ana sapoti kubwa sana ya mashabiki tatzo cjui anakwama wapi,wimbo wa kawaida