Wimbo Mpya: Diamond Platnumz ft Tiwa Savage

Masikio yako mazito kweli,, wewe sikiliza wimbo alyoshirikishwa na waje coco baby,, ile melody inasikika kwa hii ngoma mpya ya Fire....
Ooh, nimeona zimefanana kwa upande wa sauti, yaani zote ameimba kwa sauti ya kubana sana...
Kuna kipindi nilitamani Diamond aje atoe wimbo kwa sauti ya vurugu kama alivyofanya kwenye wimbo wa Victoria kimani(prokoto)..
Mungu akasaidia akaja kuijaribu kwenye wimbo alioimba na Cassper Nyovest(Moyo wangu)....
 
Bonge ya songiii goooo chibu kila lenye kheri ulipate nimwendo wa kuingia wasafi.com kupakua msosi mtamuu
 
Back
Top Bottom