CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,503
- 25,466
Hahahaa! Ngoja waje dot.com watajibu hiyo, coz wao ndio wanavyovaa hivyo,huenda wakajibu vizuri zaidi swali lako.CleverKING Swali lako hilo
Hahahaa! Ngoja waje dot.com watajibu hiyo, coz wao ndio wanavyovaa hivyo,huenda wakajibu vizuri zaidi swali lako.CleverKING Swali lako hilo
Hahahaa! Ngoja waje dot.com watajibu hiyo, coz wao ndio wanavyovaa hivyo,huenda wakajibu vizuri zaidi swali lako.
.... komenti zake zilikuwa dizaini flani ya me!!! ....leo nashangaa....tehetehe utapasuliwa werason ngiama
cc: Mulhat Mpungakwani wewe ni me? Nilidhani Ke
Mimi sio hiyo type ya wavaa kata k sasa nikujibu nini? Hapo ni sawa na kumuuliza Ladha ya Viroba mtu asiyevitumia.Lakini uliulizwa wewe mkuu
"..Na viwanda vya Bia vyote ila, cha konyagi kiwepo"Vipi kuhusu sigara mzee? Huoni kuwa kuna haja ya kufunga kiwanda cha uzalishaji?
Biashara matangazokuvutia sisi maborodinda. simple!!
ni balaaa sasaWadau,
Nimeona nilete jamvini hii mada ili tuijadili. Miaka kadhaa ya nyuma serikali ilikuwa ikitoa matamko na makaripio makali juu ya uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake lakini nimegundua wimbi la uvaaji wa nguo fupi kuongezeka siku za hivi karibuni na naona serikali iko kimya kwenye hili.
Sikatai kuwa wanapendeza lakini tukiwa katika wakati huu ambapo tunapambana na ugonjwa wa UKIMWI serikali haioni kwamba vita hii haitakuwa na mwisho zaidi ya kutumia pesa nyingi kwenye mapambano ya huu ugonjwa kwani ni jambo lisilofichika kuwa baadhi ya sehemu ya miili ya wanawake inapoachwa wazi huvuta hisia za mapenzi kwa kushawishi tendo la ndoa kwa wanaume.
Nawasilisha.
Kwel kabsa msingi ajitambue mwnywe nn anafanyaKumlazimisha afanye yale utakayo..... Mpe uhuru tu aamue mwenyewe
sketi fupi zinakusumbua na ukiona aliye uchi si utabaka?Wadau,
Nimeona nilete jamvini hii mada ili tuijadili. Miaka kadhaa ya nyuma serikali ilikuwa ikitoa matamko na makaripio makali juu ya uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake lakini nimegundua wimbi la uvaaji wa nguo fupi kuongezeka siku za hivi karibuni na naona serikali iko kimya kwenye hili.
Sikatai kuwa wanapendeza lakini tukiwa katika wakati huu ambapo tunapambana na ugonjwa wa UKIMWI serikali haioni kwamba vita hii haitakuwa na mwisho zaidi ya kutumia pesa nyingi kwenye mapambano ya huu ugonjwa kwani ni jambo lisilofichika kuwa baadhi ya sehemu ya miili ya wanawake inapoachwa wazi huvuta hisia za mapenzi kwa kushawishi tendo la ndoa kwa wanaume.
Nawasilisha.
Madhara yapi??hata yakiwepo ww unaumia nini??ebu kuwa busy basi na ishu zako,ukifuatilia binadamu utakufa kwa stress bureKazi ipo,ni ngumu kufikiria madhara ila yakisha kukuta ndio utakapoamini kuwa sio kitu kizuri kuvaa nguo fupi.
Akili za waislamu huzijui? Mimi sio mkiristo wala muislamuSijakupata vizuri mkuu una maana gani unaposema Islamic states knowledge ni ndogo sana ingawa mimi sio muislam!Kiuchimi ,Kielimu.nk.nk.
Hii ni aina moja wapo mkuu,nyingine hazifai kabisa maana hata Mods najua hawatakubaliana nazo.aisee hii thread yoooooote picha moja tu? mi nimepita one page after another nakagua picha tu. Sasa mnaongea nn na huu ufupi wa nguo hamuwezi kuuonyesha ni kama upi hamuupendi na upi unafaa .. embu weken picha bana watu wajifunze