Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,555
Sister kama kuna kitu siku hizi watoto hawaogopi tena ni wazazi wao kwasababu wazazi wanafanya matendo mabaya kwahiyo hata wao hawajiamini kukosoa,sasa mie naonelea kanisa lianzishe harakati za kuita wazazi wenye vijana ili wafanyiwe reinassance na kwasababu ndoa inasimamiwa na kanisa bado ndo lenye uwezo wa kureshape wanandoa waweje na matokeo yake,tusirushiane mpira,kanisa lifundishe ndoa kama kozi na wahusika waive. nalog off.