mashini
Member
- May 4, 2012
- 72
- 10
Faida ya kuoana ni pamoja na kuunganisha familia za pande mbili za upande wa mwanaume na mwanamke; Hii ina maana kwamba mnaongeza wigo wa kusaidiana katika kazi na maisha kwa ujumla. aidha, ni aibu katika maisha kuingia katika talaka, bali ni hekima kujifunza namna ya kufanya ili uendelee kuwepo kwenye ndoa kwa amani, kama ndo hivi kwanini kuna wimbi kubwa sana la ndoa kuvunjika kwa sasa?