Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.

Tulia wewe mbona unatetemeka na kukosa mwelekeo?
 
Slaa angemtafuta Polepole waende Chanel10 wakafanye yao kwa raha zao. kule hata Mkinga atampashavu dr
 
Hawezi maswali ya kiintelijensia ya tido. Ilikuwa aadhirike vibaya!
 
Kwani watu hawaelewi kwamba Dr Slaa analindwa na TISS na anaishi Serena hotel (sijui nani analipa bill)?
 

Ulivyo nyumbu unaona hayo maswali ni ya msingi,TIDO hawezi kujidhalilisha hivyo kwa kuuliza maswali ya kipumbavu hivyo
 
Nasikia kule home kwake li-Mushumbusi limeloweka nguo zake kwenye maji ili asitoke, hivyo mpaka dakika hii tunapogonga keyboard hapa JF babu yuko kwenye taulo.
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo porojo tuuuuu.Ccm Slaa anaimaliza, mtakuja kulaumiana kwa sababu ya Huyu SLAA.
 
Kama mpaka wanao wa kuwazaa wanakuona baba yao hufai na huna faida yoyote juu yao itakua sisi wananchi wa kawaida?Lea kwanza familia yako hapo tutakuelewa.
 
Ka-babu kamezoea maswali rahisi ya wandishi vilaza kama wale walioulizwa wewe ni mwandishi wa chombo gani? Jibu likawa "naandikia blogu". Sasa maswali ya nguli wa habari, haki ya nani kasingeyaweza, maana maswali ya Tido Dunstan Mhando yamejaa mitego hujapata kuona, lazima kangekamatika tu!!
 
Nadhani wamezingatia gharama na faida (Cost benefit analysis) wameona igizo la Dr.Slaa linawanufaisha UKAWA zaidi kuliko kuwamaliza kama ambavyo walitegemea.Hata hivyo wamechelewa maana wananchi wamekwisha pima na kuona ni bora CCM itoke kuliko kuendelea kuwepo madarakani.
 
Lini mtoa mada maana nijuavyo mahojiano take na Tido yamerushwa Leosaa tatu asbi na pia jioni saa moja wanarudi.
Ufafanuzi pls
 
Kwani watu hawaelewi kwamba Dr Slaa analindwa na TISS na anaishi Serena hotel (sijui nani analipa bill)?

Hivi pale Serena ukitaka kupata mihogo inabidi aende uelekeo upi au inabidi hawara aende danta kule melini akanunue
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…