makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,449
- 108,528
[emoji16][emoji16][emoji16] we mtoto wa kike usiniambie, mie nakuaminia starring bibie.Mpk kesho ujue
[emoji16][emoji16][emoji16] we mtoto wa kike usiniambie, mie nakuaminia starring bibie.Mpk kesho ujue
Yes inaitwa Delta ForceKuna ile movie aliigiza na chak noris anaweka watu kwenye kijumba anawamiminia sumu mpaka wanakufa
Apumzike anapostahili
Jamaa alikuwa katili haswa kwenye movie zakeKuna sehemu alimpiga yule mdada panga la tumbo, halafu wakati anakata roho akamnyonya mate.
Aliweza kuuvaa uhusika wa ukatili vizuri.Jamaa alikuwa katili haswa kwenye movie zake
Sio ukatili tu hata pale alipotakiwa ku act kama mtumiaji/mlevi wa madawa aliuvaa vizuri sana huo uhusika...Aliweza kuuvaa uhusika wa ukatili vizuri.
Kuna sehemu alimpiga yule mdada panga la tumbo, halafu wakati anakata roho akamnyonya mate.
Hahaa!! Umenikumbusha kuna movie moja ya sultan tamba nimesahau jina, kuna jini chooni siku ile sikuoga kwa kweli nilijikuta km nimejipaka maji tu, na uanaume wangu wote, na kutokuwa muoga siku hiyo nilioga robo robo, enzi hizo tumehamia maskani huko bado pori, choo kiko nyuma ya nyumba huko ningiza totoro tu, halaf jirani yetu anaekaa nyuma alikuwa anasifika za kutokuona mchana usiku starring, movie niliicheki mida mibovu, kwenda kuoga nimeoga kimashaka mashaka tu.
Hahaha. . Hivi taifa stars ikifungwa Kuna watu huwa mnaumia. .dah! ! Kweli binaadamu tuko very differentJamaa nimeumia kufa kwake zaid ya ilivyofungwa stars