makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,450
- 108,530
Hahaa!!! Yah!! Roho mbili, alikuwa sutan tamba kama sikosei.Hahaha inaitwa ROHO 2..hiyo
Hahaa!!! Yah!! Roho mbili, alikuwa sutan tamba kama sikosei.Hahaha inaitwa ROHO 2..hiyo
Naam uko sahihiHahaa!!! Yah!! Roho mbili, alikuwa sutan tamba kama sikosei.
Inaitwa DELTA FORCEKuna sehemu alimpiga yule mdada panga la tumbo, halafu wakati anakata roho akamnyonya mate.
Kabisa mkuu ukiangalia mfano hiyo delta force 2Movie za action za zamani zilikuwa bora zaidi na zenye hisia, ukiiangalia haikutoki kichwani hizi za sasa hazina mvuto sana.
Huyu mnyamwezi kanilia sn hela zangu maeneo ya kibudi kwa mangaya na kona bar, nilikuwa sikosi movie zake, kabla ya movie tunawekewa trela, miziki ya kikongo kama sio alouis mabere, Kofi oromide au pepekale,
Je alivyomnasa mavibao yule askari mahakamani[emoji16][emoji16]Daah nakumbuka hiyo scene jamaa ni zaidi ya kauzu
Hahaha wewe Diana ni kikongwe mwenzetuJe alivyomnasa mavibao yule askari mahakamani[emoji16][emoji16]
Na alikua anampatia sana huyu jamaa..Kipindi hicho kama lufufu hajatafsiri siingii movie