William Eugene Burrows Jr maarufu kama 'Billy Drago' afariki dunia

William Eugene Burrows Jr maarufu kama 'Billy Drago' afariki dunia

Attachments

  • 511599.jpg
    511599.jpg
    58.7 KB · Views: 38
Nini bi mwenda kaka ? Kuna bi hindu na bi chau mi nilikua nasemaga kama hao wanakuwaga ndio wakwezo kazi unayo kwa mdada

Halaf kuna ile movie ya nsyuka me nilikua nikisikia tangazo nakaa nje mpaka liishe habari za kutishana sijazizoea mpaka leo movie kama final destination na hizo za mazombie siwezi kuangalia kabisa
Hahaa!! Umenikumbusha kuna movie moja ya sultan tamba nimesahau jina, kuna jini chooni siku ile sikuoga kwa kweli nilijikuta km nimejipaka maji tu, na uanaume wangu wote, na kutokuwa muoga siku hiyo nilioga robo robo, enzi hizo tumehamia maskani huko bado pori, choo kiko nyuma ya nyumba huko ningiza totoro tu, halaf jirani yetu anaekaa nyuma alikuwa anasifika za kutokuona mchana usiku starring, movie niliicheki mida mibovu, kwenda kuoga nimeoga kimashaka mashaka tu.
 
😂😂😂😂 yan nimecheka vibaya
mimi ndio nilikua najitishia tu hovyo hovyo yan nikioga had mama anisimamie sio kwa woga huu
Hahaa!! Umenikumbusha kuna movie moja ya sultan tamba nimesahau jina, kuna jini chooni siku ile sikuoga kwa kweli nilijikuta km nimejipaka maji tu, na uanaume wangu wote, na kutokuwa muoga siku hiyo nilioga robo robo, enzi hizo tumehamia maskani huko bado pori, choo kiko nyuma ya nyumba huko ningiza totoro tu, halaf jirani yetu anaekaa nyuma alikuwa anasifika za kutokuona mchana usiku starring, movie niliicheki mida mibovu, kwenda kuoga nimeoga kimashaka mashaka tu.
 
Movie zake hajawahi kucheza mtu mzuri huyu
Ila alikuwa anajua kucheza kwenye nafasi yake

Ova
 
R.I.p billy ulijua kuigiza kijambazi, Carlos carlos
 
Huyu mnyamwezi kanilia sn hela zangu maeneo ya kibudi kwa mangaya na kona bar, nilikuwa sikosi movie zake, kabla ya movie tunawekewa trela, miziki ya kikongo kama sio alouis mabere, Kofi oromide au pepekale,
 
Hahahaaaa!huyu Mimi huyu
Hahaa!! Umenikumbusha kuna movie moja ya sultan tamba nimesahau jina, kuna jini chooni siku ile sikuoga kwa kweli nilijikuta km nimejipaka maji tu, na uanaume wangu wote, na kutokuwa muoga siku hiyo nilioga robo robo, enzi hizo tumehamia maskani huko bado pori, choo kiko nyuma ya nyumba huko ningiza totoro tu, halaf jirani yetu anaekaa nyuma alikuwa anasifika za kutokuona mchana usiku starring, movie niliicheki mida mibovu, kwenda kuoga nimeoga kimashaka mashaka tu.
 
Back
Top Bottom