miaka ya 2000 div 3 ilikuwa dili, so huyo jamaa akaamua kutoa cheti kisha yeye akaenda kukaa tu uko aliko?
hivi watanzania mnajiona mlivyo??
Nitamuona rc n mjinga sana kama atashughulika na kelele za kwenye social media.. Unless kama hao watu watipie complete information zinazohusu hilo swala Lake....
Mitandao n serikal nyingne kabsa...na wala haziwez kuingiliana na serikal zetu... Serikal ya kwenye mitandao Ina utawala wake, matuc, midharau na vibur ndo vmejaa...hakuna hekima ya kiongoz kwenye mitandao....
Oh okay.Hukumwelewa alichokisema...amesema nchi imesimama kwa uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, na siyo kwa ajili ya disguised identity ya Paul Makonda...
Watu wengine wanasema ati 'Makonda' ni mchapa kazi, kathubutu kuwataja 'wauza unga'. Ingawa mimi sijaona uthubutu na uchapakazi wake, lakini, kama tukitumia hivyo kama vigezo vya kumsamehe na hizi tuhuma za forgery na disguised identity, basi serikali iwarudishe kazini wale wote waliofukuzwa kwa sababu kama hizi za vyeti feki vya elimu. Maana miongoni mwa hao waliofukuzwa, kuna waliokuwa wakichapa kazi kwenye maeneo yao ya kazi, lakini mkono wa sheria haukujali hilo. Sasa kwanini 'Paul Makonda' apewe special treatment?
What an irony!! Lakini kwa Lowassa ukaamini porojo za wanasiasa kwamba ni fisadi. Hukusubiri hilo lithibitishwe na vyombo vya sheria!Mimi nimechagua kukaa kati kati kwenye suala hili mpaka pale litakapothibitika kwenye vyombo vya sheria.......kwani mpaka kufikia hapa nimeshasikia porojo nyingi za wanasiasa.....na wengine leo hii wanakula nao na kunywa nao......
Mkuu huyu hajielewi nimemuuliza maswali kakimbia.What an irony!! Lakini kwa Lowassa ukaamini porojo za wanasiasa kwamba ni fisadi. Hukusubiri hilo lithibitishwe na vyombo vya sheria!
Chief hili linawezekana kwenye jamii za watu wanaojielewa, lakini siyo kwa watanzania. Watanzania wamezoea mediocrity, ndiyo maana wao wanaona sawa kuwa na kiongozi mwenye disguised identity, ati kwa kuwa ana 'uthubutu' wa kupiga kelele zisizo na faida!
Mkuu makonda hajatumia social media... Alitumia vyombo vya habar na c social network...je n chombo gan cha habar walichotumia wana udaku...? Be serious brother...Unadharau social media, wakati huyo Daudi Bashite aliitumia kuchafua watu kwa kuwaita wauza madawa ya kulevya?! Wakati serikali inakamata watu kwa kumkosoa mtukufu Magufuli kwenye Whatsapp? Wakati serikali hadi ikatunga sheria ya kudhibiti social media?
Inawezekana akawa Makonda ni kiburi na jeuri....na amegoma kuuweka ukweli bayana.....sasa kwanini hao wenye ushahidi usio na shaka wasilimalize hili swala kwenye vyombo vya sheria......???!!!!
Ina maana mtuhumiwa akikataa kutoa ushirikiano kwenye shauri lake dhidi ya wanaomtuhumu ndio anakuwa hana hatia......!!??
Jamaa hakutoa cheti kwa ufahamu na utashi wake, Daudi Bashite alimtumia binamu wa huyo Paul Christian M. ili aweze kufanya forgery ya cheti.
Lakini mbona hili jambo ni jepesi sana, kumaliza huu utata, 'Paul Makonda' si alete vyeti vyake vya elimu tu? Mbona yeye anapewa special treatment ilhali ni mtumishi wa umma kama watumishi wa umma waliofukuzwa kazi na kunyimwa mafao yao kwa sababu ya forged education na identities?
pamoja mkuuInawezekana akawa Makonda ni kiburi na jeuri....na amegoma kuuweka ukweli bayana.....sasa kwanini hao wenye ushahidi usio na shaka wasilimalize hili swala kwenye vyombo vya sheria......???!!!!
Ina maana mtuhumiwa akikataa kutoa ushirikiano kwenye shauri lake dhidi ya wanaomtuhumu ndio anakuwa hana hatia......!!??
Paul Makonda yupo VOT radio ,mmiliki ni Rage aliekuwa mbunge wa Tabora,,,paul akiulizwa kuhusu hili sakata hataki kuongelea kabisa anacheka tu
Aliyeandaa orodha ya mafisadi ni TunduWhat an irony!! Lakini kwa Lowassa ukaamini porojo za wanasiasa kwamba ni fisadi. Hukusubiri hilo lithibitishwe na vyombo vya sheria!
Sielewi ulichokiandika, kwani umetumia lugha nisiyoifahamu...ebu rudia kuandika kwa kiswahili ama hata kiingereza, kijerumani au kispanish, nitakuelewa.Mkuu makonda hajatumia social media... Alitumia vyombo vya habar na c social network...je n chombo gan cha habar walichotumia wana udaku...? Be serious brother...
Maguful kuwakamata watu wa social media n upuuz tu...maana tunaotumia social media weng wetu n wapuuz kama ulivyo ww kwa kutumia I'd fake...kama una Nia ya kumkosoa jirekod ukizungumza fact na c matuc then tupia kwenye social media...
Social media haijakufanya uwatukane wenzako tena ukiwa kwenye I'd fake....kukosoa serikal haimanish ukosoe kwa matuc kama Malaya wa ambiance...
Czan kama mtu asie penda kukosolewa icpokua matuc na udhalilishaj ndo mambo tunayoyapgia kelele...yaan mtu hakosolew kwa kupewa kashfa...kumpa mtu kashfa maana yake huyo mtu humtak kabsa......
Social media itabak na sheria na serikal yake....kujibu udaku wa watu wapuuz maana yake uongoz nao utakua n wa kipuuz kabsa....
Nimekuelewa. Natumaini unatumia reasoning hii hii kwa suala la ufisadi wa Lowassa.huyu tunayemlazimisha hataki
sasa wewe mwenye akili timamu ili story yako iwe valid lazima uombe upande uliotuhumu
mtu anawezaje kukuambia una govi? kama hajaliona?
Umesoma na kuelewa nilichomjibu huyo ndugu? Au umefikiri ukisema Lissu ndiyo itakuwa tofauti?Aliyeandaa orodha ya mafisadi ni Tundu
Kama litoto vileNimeuliza hilo swali mara kadhaa, wanaJF wanaandika tu Bashite, Bashite, Bashite, Vyeti, Vyeti, Vyetiiii!
Hivi wanaJF wanaodai vyeti wana akili timamu!
Na hao wazazi, ndugu na jamaa wa Daudi Bashite nao kwa nini hawafunguki!
Waliombatiza Daudi na Paulo, mbona hatuwaulizi kutwambia kama hao ni watu wawili tofauti au ni mtu mmoja wa majina mawili!
Maswali mengi yasiyo na majibu ila ukweli unabaki wanaJF wamekubali uzushi kwa sababu ambazo kila mmoja anazijua