Will Smith is no more

KAMA HAWAJAUPDATE SAWA, LAKINI INASOMEKA HIVI MPAKA SASA

Will Smith
Smith in May 2010BornWillard Christopher Smith, Jr.
September 25, 1968 (1968-09-25) (age 42)
Wynnefield, Philadelphia, Pennsylvania, U.S.Other namesThe Fresh PrinceOccupationActor, rapper, film producer, record producer, television producerYears active1985–presentSpouseSheree Zampino (m. 1992–1995) «start: (1992)–end+1: (1996)»"Marriage: Sheree Zampino to Will Smith" Location: (linkback:Will Smith - Wikipedia, the free encyclopedia)
Jada Pinkett Smith (m. 1997–present) «start: (1997)»"Marriage: Jada Pinkett Smith to Will Smith" Location: (linkback:Will Smith - Wikipedia, the free encyclopedia)ChildrenTrey Smith
Jaden Smith
Willow SmithWebsiteWILL SMITH
 
kuna uzushi na uzushi,
uzushi huu mimi sijaupenda kabisaaaaa!!!
Unataka kutupa pressure wenzio,
tuonee huruma,
ungesema labda fisadi fulani hivikama............ Anaetupa shida hapa tanzania kufikiria mambo ya maana, ameamua kuhama tanzania kwenda kuwa monk korea, mali zake zote kaziingiza kwenye sekta binafsi, kidogo ingeleta burudani.

Huyu kaka ni kati ya watu wachache wanaonivutia kuangalia sinema mwanzo hasi mwisho.
afadhali YUPO HAI
 
Mmmh siamini!!
Actor ambae nilisikitika sana alipofariki ni Bernie Mac...kama WS nae ni kweli ntasikitika kweli!

Mie nimesikitika sana na kifo cha will smith kwa kweli. ni Actor ambaye alipendwa na kila rika.
 
We kama mimi FL1, nimetafuta CNN, BBC na pia Google hakuna kitu. I hope this is just a hoax.



Kweli BAK

Yaani huyu jamaa alivyokuwa maarufu namna hii tunavyompenda namna hii ukigoogle popote hakuna hata kitu cha kueleweka

nashindwa kuamini hata hizi BBC/CNN breaking news hakuna ...

harafu pia chanzo cha habari cha new zealand kimetoa kihabari hata hakieleweki kabisa.
Mungu apishe mbali
 
Mtorii please, such jokes a too dangerous, japo nimegundo ni uongo lakini nimejisikia vibaya sana.
 
Uzushi huu umekuwepo toka wiki nne zilizopita. WS yupo New York anashuti Men in Black III , au Will Smith wa Kaole anaongelewa hapa?
 
hajafa ts jus anaza hoax, will smith ametweet mwenyewe kuwa anapikia family yake, few minutes ago.
 
Hajafa mi nilikuwa na jada muda si mrefu wakawa wanaongea kwenye simu kwa furaha
 
Duuh this would have been in CNN and BBC as breaking News! Kifupi hii ni CRAP

Long Live Wil Smith
 
What a relief that he's alive nilipata homa ghafla wajameni,tha news was broken not breaking banaaa!!!
 
Back
Top Bottom