Atomicflea
New Member
- Aug 27, 2020
- 3
- 0
Naamini mu wazima wa afya. Nlikuwa naomba msaada wa utofauti kati ya Wildlife Management na Tourism Management. Naona ni course tofauti zipo SUA ila sijazielewa.
Karibuni sana
Karibuni sana
Sio lazima aajiriwe TANAPA, pia kuna TAWA, NCAA etc.Hapo course ya kusoma ni hiyo wildlife management, ukimaliza ukapata kazi TANAPA Ngorongoro nk utakula mpunga mrefu tu
Wildlife Management- inahusu jinsi na namna ya kumanage wanyama pori kama wanyama pori wakiwa porini (mbuga za wanyama) au wanyama pori ambao tumewakamata na tuna wafuga (kwa mfano nyoka, mamba, antelopes etc) kibiashara, kuna zoo animals etc. Tourism ni kuhusu vivutio vyetu vya kitaifa, ni jinsi gani tutavi manage vituingizie mapato kutoka kwa watalii pamoja na jinsi ya kuwavutia hao watalii. Kivutio chetu kimojawapo ni wanyama pori na hapo utaona Wildlife Management inavyo ingiliana na Tourism. Course ya Wildlife Management inaendana na science ya biologia zaidi na Tourism inaendana na social sciences.Naamini mu wazima wa afya. Nlikuwa naomba msaada wa utofauti kati ya Wildlife Management na Tourism Management. Naona ni course tofauti zipo SUA ila sijazielewa.
Karibuni sana
Shukran kkHapo course ya kusoma ni hiyo wildlife management, ukimaliza ukapata kazi TANAPA Ngorongoro nk utakula mpunga mrefu tu
shukran mkuu... Nimepata uelewa mkubw juu ya hiloWildlife Management- inahusu jinsi na namna ya kumanage wanyama pori kama wanyama pori wakiwa porini (mbuga za wanyama) au wanyama pori ambao tumewakamata na tuna wafuga (kwa mfano nyoka, mamba, antelopes etc) kibiashara, kuna zoo animals etc. Tourism ni kuhusu vivutio vyetu vya kitaifa, ni jinsi gani tutavi manage vituingizie mapato kutoka kwa watalii pamoja na jinsi ya kuwavutia hao watalii. Kivutio chetu kimojawapo ni wanyama pori na hapo utaona Wildlife Management inavyo ingiliana na Tourism. Course ya Wildlife Management inaendana na science ya biologia zaidi na Tourism inaendana na social sciences.