kasumbiresa
Member
- May 25, 2023
- 18
- 4
Wilaya Uyui, ni wilaya pekee ambayo ni wilaya korofi sana na kuna upigaji wa aina nyingi, Kuna ujenzi wa halmashauri mpya ya Uyui kuna ufisadi mkubwa wa kutisha watu wamejilipa pesa za kufa mtu, majengo menyewe hajakamilika ila imebidi wafanyakazi wahamie kabla ujenzi haujakamilika kwa sababu kuhamia mapema kunafanya vitu ambavyo havijakamilika visikamilike, Vitu vinajengwa chini ya kiwango havikaguliwi mainjia wanapelekewa bahasha wanakagulia vitu ndani ya ofisi zao bila kwenda site.
Na katika kuthibitisha hilo majengo yote yaliojengwa mwezi wa 12, yananyufa za kufa mtu.na yameshachakaaa. Hata kama serikali haifuatilii ubadhirifu, ila iwe na huruma za Hela walipa Kodi.
Sasa hivi nasikia tena imegawa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maabara watu wanajilia tu hizo pesa. Wanajenga kiujanja watu wanapiga pesa tuuu tamisemi tumeni wataalam muone madudu yanayofanyika katika halmashauri zetu.
Pia, kuna rushwa ya ngono katika ugawaji vyeo Kuna mtu kahamishwa kutoka mahala shuleni Fulani kapelekwa shule X kisa anagawa sana, kule alipokuwepo alikataliwa kwa sababu ya ulafi wa pesa na kuwagawa anaowaongoza na kusababisha matabaka.
Lakini huyo mtu kapelekwa shule nyingine na uko ameanza kusababisha matatizo kwanza mdini, analazimisha watu wamfuate yeye utafikiri yeye amekuwa ndo waziri, Tamisemi tuondoleeni huyu mtu maanake huku Uyui anajidai kwba baba yake ni mkurugenzi.
Na katika kuthibitisha hilo majengo yote yaliojengwa mwezi wa 12, yananyufa za kufa mtu.na yameshachakaaa. Hata kama serikali haifuatilii ubadhirifu, ila iwe na huruma za Hela walipa Kodi.
Sasa hivi nasikia tena imegawa pesa kwa ajili ya ujenzi wa maabara watu wanajilia tu hizo pesa. Wanajenga kiujanja watu wanapiga pesa tuuu tamisemi tumeni wataalam muone madudu yanayofanyika katika halmashauri zetu.
Pia, kuna rushwa ya ngono katika ugawaji vyeo Kuna mtu kahamishwa kutoka mahala shuleni Fulani kapelekwa shule X kisa anagawa sana, kule alipokuwepo alikataliwa kwa sababu ya ulafi wa pesa na kuwagawa anaowaongoza na kusababisha matabaka.
Lakini huyo mtu kapelekwa shule nyingine na uko ameanza kusababisha matatizo kwanza mdini, analazimisha watu wamfuate yeye utafikiri yeye amekuwa ndo waziri, Tamisemi tuondoleeni huyu mtu maanake huku Uyui anajidai kwba baba yake ni mkurugenzi.