JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Juma Chikoka amesisita wataendelea kutekeleza maagizo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuendelea kutoa huduma kwa Wananchi, ambapo Wilaya ya Rorya imetenga wiki Moja kila mwezi kushirikiana na Taasisi, Idara na vitengo vyote vitoke kwenda kuhudumia Wananchi.