babulakibaha
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 287
- 325
Bia Kali sana hiyo ni nzuri kwa kubana matumiziHii Bia TBL waseme ukweli sio 5.8v/v ni zaidi....
Basi kuendana na kasi ya kiuchumi ukipiga hako na ka konyagi kako ka 3500 ukimaliza hapo safiiii mtalo unaouona kama swimming pool majengo yanaelea elea housegal unamuona ka mkeo unackia raha mwenyeww
Ushaina mkuu, yaani Jana nilikunywa hizi, hangover lake kutwa nzima!!Hii Bia TBL waseme ukweli sio 5.8v/v ni zaidi....